Namkumbuka lakini simtamani

Namkumbuka lakini simtamani

Pole ila hata unavyoandika humu maana yake si unaongeza degree ya kumkumbuka? Ningekuwa wewe hata kusikia jina lake tu nisingeruhusu!!! Nikikuacha mimi kurudi ni sawa na kutaka kumeza tena matapishi yangu. Sorry for hard language ila ninafikiri the last thing a man will do to me ni kunitusi achilia mbali kunipiga.

Ha ha haaaa haaaaa. .we mkareee
 
Mjinga sana wewe, yani umeniharibia siku kabisa.
Kwa hiyo viji story vyako vinatusaidiaje sisi??
Kweli umelaaniwa wewe si bure.
Na huto olewa kamwe kwa tabia hizi!
 
Mjinga sana wewe, yani umeniharibia siku kabisa.
Kwa hiyo viji story vyako vinatusaidiaje sisi??
Kweli umelaaniwa wewe si bure.
Na huto olewa kamwe kwa tabia hizi!

Poa tu kama muoaj mwenyewe n wewe..na wewe hautaoa labda umuoe dada ako au uolewe na kaka ako.mxyuuuuuuuuuuuuu
 
mweeeeh

Babu kumbe bado umo??

Anyways, nimebadili ID ukinigundua ni nani njoo nakupe zawadi yako kama ya siku ile
Khaaaaaaa!!!

Hakyamama huu mtihani ni mgumu hata Jaji Warioba na tume yake wangeushindwa....

Nipe sababu mbili za kubadili ID Mchumba wangu.
 
Last edited by a moderator:
mapenzi mabaya na kama show yake ilikuwa sio ya kitoto kumkumbuka ni wajibu mdada pamoja na mapungufu yake ya wivu kiroba kizima
 
mapenzi mabaya na kama show yake ilikuwa sio ya kitoto kumkumbuka ni wajibu mdada pamoja na mapungufu yake ya wivu kiroba kizima

Ha ha ha ha ha.kias tu cacasi, simkumbuk sana
 
I see you deserve ku-tangazwa!
Is your name chausiku, Maimuna, Mwanahamisi, Mwanaisha, Mwanamkuu!
Maana unaendana na haya Majina kabisa!

So tatzo lko wap?? Hayo nayo majna as urs...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom