Wakuu nikili tu kuwa hii taasisi ya ufundishaji mafundi ni jipu lililoiva kabisa, Nina kijana wangu Amememaliza Veta fani ya Ujenzi mwaka juzi October 2015 mpaka ninavyoandika hapa vyeti havijatoka ile hali ni mwaka na miezi mitatu imepita, kijana nimemtafutia kazi tatizo ni cheti hana wala...
Kiukweli Udom wamejitahdi sana ktk kuwa na website nzuri na makini mimi sijui sana hii university yote ila nawapongeza sana college of informatics haswa wahandisi wenzangu Wa Telecommunication and Computer na appreciate sana product za informatics graduates haswa tunapokutana sites
pin kivipi mkuu? yani unapowasha itake pin? kama ni hivo nenda control panel utaikuta kwenye start halafu user account utaona hii current akaunti yako i set paswword then done
DIT na MUST zipo bachelor kama tano ivi na ATC pia ipo moja ya civil and irrigation hivo vyuo vinatoa kweli wahandisi ambao ni demand kwa soko letu hatuna umuhimu sana na theoritical kwa wakati huu japo mbeleni watahitaji theoretical based zaidi ni Ud yani Coet apo mkandara hataki ata diploma...
Narudia hata tuchukue Cut off point za juu au Gpa kubwa bado shida ni elimu inayotolewa mavyuoni ni tabu tunapima creaming capacity zaidi kuliko understanding na practical mwanafunzi anamaliza let say anapata kazi serikalini na field yake anaitupa kabisa no curiously no inspiration hata media ni...
Ili usajiliwe Nacte lazima uwe na academic certificates walau D mbili O level anaekuambia sijui una zero na utapata chuo labda Masai utalii college,Eagle wings college Hata akikuambia uanze na pre entry ndo u join up certificate or diploma kama umetaga o level usikubali the best way ni kureseat...
Science sio imani mkuu mana kuamini ni fikra ambazo inaweza kuwa kweli au lah je unaamini ukirusha jiwe juu linarudi chini au Ndo uhalisia kuwa jiwe lazima lirudi chini likirushwa juu hii sio imani mkuu ndio uhalisia hauhitaji kuamini au lah bari ndo reality
Mkuu Hivo vitu vyote unavyojaribu kutoa mifano Science imevielezea vyema sana kwa kweli sijifikiri hata nikupe uchambuzi kuwa Pumzi tunayovuta na inayofanya tusurvive ni oxygen science ya primary kabisa, Mungu wako hadhibitishikiki kiaina yoyote Sasa ukitolea mifano vitu kama simu naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.