Recent content by bulldoza

  1. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Special for Parents

    Watu wengi hawapendi kusoma kidhungu ukipata nafasi tafadhali iweke kwa kiswahili kwani itatusaidia tulio wengi.imetulia sana TB Parents hi ni kweli tupu
  2. bulldoza

    JamiiForums Tanzania (Kwa wadada wenye ndoa) Utii kwa waume zetu

    Kongosho;SO FAR MI NNACHOJUA NDOA NI NJEMA NA NI JAMBO JEMA KUFUNGA NDOA TATIZO SHETANI AMEDANGANYA WENGI KWA KASI ALIYOIANZISHA YA KUVURUGA WANANDOA HEBU CHUKULIA MFANO WA POST..KWELI NI WACHACHE SANA WANAOHESHIMU VIAPO WALIVYOKULA MBELE YA HADHARA..SHETANI AMEWAFANYA WASAHAU NA KUWAONDOLEA...
  3. bulldoza

    JamiiForums Tanzania (Kwa wadada wenye ndoa) Utii kwa waume zetu

    Wadada mpooo?mbona hatuoni mkitia maneno yenu yale?au hamjaolewa nini?
  4. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Bila milioni mbili 'simvuli'i mwanaume chupi na sijaona mwanaume wa 'kutemebea' na mimi mji huu!

    interesting..........mwambie aje mi ntajazia hiyo pungufu bureee bila kugusa
  5. bulldoza

    JamiiForums Tanzania mbeya nataka kitimoto

    duuh umepata mambo ya kitinchomee siku ingine kabla hujaenda nishtue mapema mi ntakupa company namna hii noma,niunganishe basi na shemeji?
  6. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Sh 5,000 inaweza kabisa kunitoa kimaisha!

    Amoeba youv said it,sio lazima iwe buku tano halisi nadhani yeye ametumia hiyo kama mfano tu kwa yule ambaye anacho kiasi kidogo kwa kuanzia na sio wale wenzio wanaosemaga ana mil 100 afanye biashara gani?(who knows km kweli anayo mill mia kweli au ni maneno tu?) sasa hali halisi ya kibongo...
  7. bulldoza

    JamiiForums Tanzania New Mzalendo Style.

    Safi sana mkuu,sasa mkuranga kubwa lakini naomba maelekezo zaidi niko mbioni soon ntamaliza ujenzi wa banda langu nipate japo mmoja wa kuanzia aka newmzalendo style tuko wengi ,...
  8. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Sh 5,000 inaweza kabisa kunitoa kimaisha!

    Mkuu hujui kuwa mbuyu ulianza kama mchicha? vijana songeni mbele heshimu kile ulicho nacho (They say negative thinker see's difficulty in every opportunity ,positive thinker see opportunity in every difficulty) guys lets think positive
  9. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada wa mawazo ya biashara/ujasiriamali

    Mkuu Malila inawezekana kunipatia elimu ya ufugaji wa swine?napenda kujua do &dont za hii kitu au kama hapa haikubaliki tafadhali hata kwenye pm.
  10. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Fancing wire wapi zinapatikana kwa bei nzuri?

    Habarini ndugu zangu? naomba mawazo yenu naamini wapo ambao wana uelewa mkubwa kuhusu wapi ntapata fancing wire kwa bundle na bei yake na heka moja inatumia kiasi cha bundle ngapi .nina kashamba kangu (mlandizi - pwani) nahitaji kuzungushia kwaajili ya usalama. Tafadhali naomba michango kwa...
  11. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Je mtoto ulie nae ni wako??

    Hiyo ni swala ngumu ni kama uanze kujiuliza kama wazazi waliokuzaa ni org ?
  12. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    % 99 ya nyumba ndogo zinaleta full nuksi kwenye maisha yetu imenitokea na wengine nawafahamu yamewakuta .Mke wa ndoa ni full baraka.Mnatumiwa na shetani basi tu hamjijui
  13. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaume tukiamua kuwa na mmoja mmoja si itatokea vita?

    Achen kuwa watumwa ..kwahiyo unatakaje?
  14. bulldoza

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Toyota CAMI vs Toyota Vitz

    We hata baiskeli unayo kweli? watu wengi wanaopenda kujishow off ni empty kabisa...kakuambia nani kuwa ukipenda wewe prado basi kila mtu anapenda kila mtu ana choice yake mkuu acha hizoo
Back
Top Bottom