Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Habari zenu wadau. Nahitaji kununua gari, na Katika Uchunguzi wangu nimeweza kushortlist gari tatu ambazo ni Toyota CAMI, Vitz na Suzuki Swift sababu kuu ya kushortlist ni kwamba zote zinalingana kiu-uwezo kwa CC zake(1300) na hivyo nitaweza kuzimudu kwa uendeshaji wake(Mafuta). Katika Hizo, kuna baadhi ya watu walinishauri niachane na gari za suzuki na kusema ni heri niwe na toyota kwani upatikanaji wa spea ni mkubwa.
Sasa Wadau naomba kwa wenye Uelewa Mzuri na Haya magari juu ya uimara wa magari husika, upatikanaji wa spea zake, uendeshaji na bei zake. Ikiwezekana naomba pia directives za showrooms ambazo ziko cheaper in town.
Natanguliza Shukurani
Sasa Wadau naomba kwa wenye Uelewa Mzuri na Haya magari juu ya uimara wa magari husika, upatikanaji wa spea zake, uendeshaji na bei zake. Ikiwezekana naomba pia directives za showrooms ambazo ziko cheaper in town.
Natanguliza Shukurani