lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
Wasiwe wachonganishi, wala wasiwe watumwa wapombe; bali waonyeshe mfano mwema. [SUP]4 [/SUP]Hivyo wawafundishe akina mama vijana kuwapenda waume zaona watoto wao [SUP]5 [/SUP]nakuwa wenye kiasi na safi, wakitumia wakati wao kushughulika nyumbani mwao. Wawewema na watii kwa waume zao, ili neno la Mungu lisije likadharauliwa kwa ajili yao
Mama mkwe wake alikuwa mfano mzuri mtiifu mbele za Mungu na kwamumewe,walidumu kwenye ndoa kwa miaka 60,na alikufa akiwa na miaka 83.
Kwa kipindi kisichopungua miaka 17 ya ndoa yao baba aliuguamaradhi ya ubongo yaliyoharibu ubongo wake kabla hajafanyiwa upasuaji.Baada yaupasuaji alikuwa kama mtoto mdogo asiyejiweza kwa chochote na alihitajiuangalizi muda wote.
Kwa miaka 17,mama alienda kila siku kumuona siku sita kwawiki,alikubali kutokwenda jumapili tu baada ya watoto wake kumlazimishaapumzike japo siku moja kwa wiki.Hakuweza hata kusafiri kwa kipindi chote hicho,alimpendasana baba zaidi tunavyoweza kuelezea,na alikuwa mtiifu na mwaminifu hadi kwamumewe hadi kifo chake.
She was a model and example of faithfulness.
What are the secrets to stick with your man?
.kuweka ahadi ya kiapo chenu cha ndoa
.Kwa msaada wa Mungu
.Total commitment
Kwa upande wangu in my marriage there has been rough timesduring our 5yrs of marriage but now we are both very strong and independent.Munguamenifundisha kwa neno lake TITO 2:5 kwenye mawazo yangu siku moja baada yakumpa maisha yangu ayatawale
Wawe wema na watii kwa waume zao, ili neno la Mungulisije likadharauliwa kwa ajili yao;
Neno hili limenisaidia sana kugundua sauti ya adui na uongowake.sifikirii tena wala sina mawazo ya kumuacha mume wangu kwa kosa lolote.kwakuwa namuheshimu Mungu na kumpenda na singependa kulitukanisha jina lake kwa kiaponilichoweka ktk nyumba yake kwa kutotii kwangu agizo lake.Mungu ametusaidiakuchukuliana kwa upendo na uaminifu to each other.
Her mother inlaw set an example of sticking with your manto all womeneven you can also do it
Baba; ulianzisha familia.Asante kwa kuwa utatupatia mahitaji yotetunayohitaji tunapaswa kuwa watii kwa waume zetu.Uliahidi kuwa hakuna jaribulisilokuwa na mlango wa kutokea na utatushindia yote daima.Umekuwa mwaminifukwa neno lako siku zote.Asante baba Amen
Mama mkwe wake alikuwa mfano mzuri mtiifu mbele za Mungu na kwamumewe,walidumu kwenye ndoa kwa miaka 60,na alikufa akiwa na miaka 83.
Kwa kipindi kisichopungua miaka 17 ya ndoa yao baba aliuguamaradhi ya ubongo yaliyoharibu ubongo wake kabla hajafanyiwa upasuaji.Baada yaupasuaji alikuwa kama mtoto mdogo asiyejiweza kwa chochote na alihitajiuangalizi muda wote.
Kwa miaka 17,mama alienda kila siku kumuona siku sita kwawiki,alikubali kutokwenda jumapili tu baada ya watoto wake kumlazimishaapumzike japo siku moja kwa wiki.Hakuweza hata kusafiri kwa kipindi chote hicho,alimpendasana baba zaidi tunavyoweza kuelezea,na alikuwa mtiifu na mwaminifu hadi kwamumewe hadi kifo chake.
She was a model and example of faithfulness.
What are the secrets to stick with your man?
.kuweka ahadi ya kiapo chenu cha ndoa
.Kwa msaada wa Mungu
.Total commitment
Kwa upande wangu in my marriage there has been rough timesduring our 5yrs of marriage but now we are both very strong and independent.Munguamenifundisha kwa neno lake TITO 2:5 kwenye mawazo yangu siku moja baada yakumpa maisha yangu ayatawale
Wawe wema na watii kwa waume zao, ili neno la Mungulisije likadharauliwa kwa ajili yao;
Neno hili limenisaidia sana kugundua sauti ya adui na uongowake.sifikirii tena wala sina mawazo ya kumuacha mume wangu kwa kosa lolote.kwakuwa namuheshimu Mungu na kumpenda na singependa kulitukanisha jina lake kwa kiaponilichoweka ktk nyumba yake kwa kutotii kwangu agizo lake.Mungu ametusaidiakuchukuliana kwa upendo na uaminifu to each other.
Her mother inlaw set an example of sticking with your manto all womeneven you can also do it
Baba; ulianzisha familia.Asante kwa kuwa utatupatia mahitaji yotetunayohitaji tunapaswa kuwa watii kwa waume zetu.Uliahidi kuwa hakuna jaribulisilokuwa na mlango wa kutokea na utatushindia yote daima.Umekuwa mwaminifukwa neno lako siku zote.Asante baba Amen