(Kwa wadada wenye ndoa) Utii kwa waume zetu

lolyz

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
339
199
……Wasiwe wachonganishi, wala wasiwe watumwa wapombe; bali waonyeshe mfano mwema. [SUP]4 [/SUP]Hivyo wawafundishe akina mama vijana kuwapenda waume zaona watoto wao [SUP]5 [/SUP]nakuwa wenye kiasi na safi, wakitumia wakati wao kushughulika nyumbani mwao. Wawewema na watii kwa waume zao, ili neno la Mungu lisije likadharauliwa kwa ajili yao
Mama mkwe wake alikuwa mfano mzuri mtiifu mbele za Mungu na kwamumewe,walidumu kwenye ndoa kwa miaka 60,na alikufa akiwa na miaka 83.
Kwa kipindi kisichopungua miaka 17 ya ndoa yao baba aliuguamaradhi ya ubongo yaliyoharibu ubongo wake kabla hajafanyiwa upasuaji.Baada yaupasuaji alikuwa kama mtoto mdogo asiyejiweza kwa chochote na alihitajiuangalizi muda wote.

Kwa miaka 17,mama alienda kila siku kumuona siku sita kwawiki,alikubali kutokwenda jumapili tu baada ya watoto wake kumlazimishaapumzike japo siku moja kwa wiki.Hakuweza hata kusafiri kwa kipindi chote hicho,alimpendasana baba zaidi tunavyoweza kuelezea,na alikuwa mtiifu na mwaminifu hadi kwamumewe hadi kifo chake.

She was a model and example of faithfulness.
What are the secrets to stick with your man?
.kuweka ahadi ya kiapo chenu cha ndoa
.Kwa msaada wa Mungu
.Total commitment

Kwa upande wangu in my marriage there has been rough timesduring our 5yrs of marriage but now we are both very strong and independent.Munguamenifundisha kwa neno lake TITO 2:5 kwenye mawazo yangu siku moja baada yakumpa maisha yangu ayatawale

Wawe wema na watii kwa waume zao, ili neno la Mungulisije likadharauliwa kwa ajili yao;

Neno hili limenisaidia sana kugundua sauti ya adui na uongowake.sifikirii tena wala sina mawazo ya kumuacha mume wangu kwa kosa lolote.kwakuwa namuheshimu Mungu na kumpenda na singependa kulitukanisha jina lake kwa kiaponilichoweka ktk nyumba yake kwa kutotii kwangu agizo lake.Mungu ametusaidiakuchukuliana kwa upendo na uaminifu to each other.

Her mother inlaw set an example of “sticking with your man”to all womeneven you can also do it

Baba; ulianzisha familia.Asante kwa kuwa utatupatia mahitaji yotetunayohitaji tunapaswa kuwa watii kwa waume zetu.Uliahidi kuwa hakuna jaribulisilokuwa na mlango wa kutokea na utatushindia yote daima.Umekuwa mwaminifukwa neno lako siku zote.Asante baba…Amen
 
Hii nondo si kwa wanamama tu hata waume wote ingekuwa hivi basi ndoa nyingi sana zingesalimika. Asante mdau kwa chakula ulichotulisha leo na ubarikiwe
 
nani anataka kujifunga kitanzi?

Kongosho;SO FAR MI NNACHOJUA NDOA NI NJEMA NA NI JAMBO JEMA KUFUNGA NDOA TATIZO SHETANI AMEDANGANYA WENGI KWA KASI ALIYOIANZISHA YA KUVURUGA WANANDOA HEBU CHUKULIA MFANO WA POST..KWELI NI WACHACHE SANA WANAOHESHIMU VIAPO WALIVYOKULA MBELE YA HADHARA..SHETANI AMEWAFANYA WASAHAU NA KUWAONDOLEA HOFU YA KIMUNGU.ILA KILA MTU AKIJIHESHIMU ASIKWAMBIE MTU HAMNA RAHA DUNIANI KUIPITA NDOA TAKATATFU WEWE
 
Asante sana mtoa mada kwa maneno mazuri yenye hekima na upendo,nami sitasita kuongezea hapo kidogo..
Mwenyezi mungu atuwezeshe katika haya


1. Imani
Mithali 31:26, 29, 30Mke mwema anayashika na kuyafanyia kazi maneno ya Mungu na ni mtu ambaye anamtumikia Mungu kwa moyo wake wote na akili yake yote. Anatafuta makusudi ya Mungu katika maisha yake na kuyafuata. Zaburi 119;15
******************

2. NdoaMithali 31:11-12, 23, 28Mke mwema humuheshimu mume wake na anahakikisha anamtendea mambo mema siku zote za maisha yake. Ni wa kuaminika na msaidizi kwa mume wake. Efeso 5:22-24, 1Petro 3
*********************

3.MaleziMithali 31: 26, 28Mke mwema anawafundisha watoto wake njia za Mungu na pia anawatunza kwa upendo. Huwafundisha kwa hekima na kuwaelekeza njia iwapasayo kuiendea. Mithali 22:6
*************

4. HudumaMithali 31:12-15, 17, 20Mke mwema anamhudumia mume wake na familia yake yote kwa ukarimu na upendo. Anahakikisha wanapata chakula kilicho bora na chenye afya. Ni mtu mwenye huruma na ukarimu.
***************

5. MaliMithali 31:14, 16, 18Mke mwema anatafuta kwanza ushauri wa mumewe kabla ya kutumia fedha na pia anafanya manunuzi kwa hekima. Ni muangalifu kununua bidhaa zenye ubora kulingana na mahitaji ya familia yake.Efeso 5:23
******************

6. NyumbaMithali 31:15, 20-22, 27Mke mwema ni mtu anayeifanya nyumba iwe mahali pa kuishi. Anatengeneza mazingira ya kuvutia kwa familia yake na wageni wote na anawahudumia watu wake wote kwa ukarimu. 1pet 4:9, Ebrania 13:2
********************


7. MudaMithali 31:13, 19, 27Hutumia muda wake vizuri na kuhakikisha anakamilisha kazi zake za kila siku. Kamwe hapotezi muda katika kufanya mambo ambayo hayampendezi Mungu na yasiyo na faida.
******************

8. Uzuri / UremboMithali 31:10, 21-22, 24Ni mrembo na mwenye thamani, ana uzuri wa ndani unatoka kwa Yesu Kristo. Anatumia ubunifu wake na utanashati wake kuleta uzuri katika maisha yake na ya watu wake.
Mungu atusaidie ili maisha yetu yaonyeshe kweli tunamjua na kumwamini yeye.

************************************************************
 
Asante sana mtoa mada kwa maneno mazuri yenye hekima na upendo,nami sitasita kuongezea hapo kidogo..
Mwenyezi mungu atuwezeshe katika haya


1. Imani
Mithali 31:26, 29, 30Mke mwema anayashika na kuyafanyia kazi maneno ya Mungu na ni mtu ambaye anamtumikia Mungu kwa moyo wake wote na akili yake yote. Anatafuta makusudi ya Mungu katika maisha yake na kuyafuata. Zaburi 119;15
******************

2. NdoaMithali 31:11-12, 23, 28Mke mwema humuheshimu mume wake na anahakikisha anamtendea mambo mema siku zote za maisha yake. Ni wa kuaminika na msaidizi kwa mume wake. Efeso 5:22-24, 1Petro 3
*********************

3.MaleziMithali 31: 26, 28Mke mwema anawafundisha watoto wake njia za Mungu na pia anawatunza kwa upendo. Huwafundisha kwa hekima na kuwaelekeza njia iwapasayo kuiendea. Mithali 22:6
*************

4. HudumaMithali 31:12-15, 17, 20Mke mwema anamhudumia mume wake na familia yake yote kwa ukarimu na upendo. Anahakikisha wanapata chakula kilicho bora na chenye afya. Ni mtu mwenye huruma na ukarimu.
***************

5. MaliMithali 31:14, 16, 18Mke mwema anatafuta kwanza ushauri wa mumewe kabla ya kutumia fedha na pia anafanya manunuzi kwa hekima. Ni muangalifu kununua bidhaa zenye ubora kulingana na mahitaji ya familia yake.Efeso 5:23
******************

6. NyumbaMithali 31:15, 20-22, 27Mke mwema ni mtu anayeifanya nyumba iwe mahali pa kuishi. Anatengeneza mazingira ya kuvutia kwa familia yake na wageni wote na anawahudumia watu wake wote kwa ukarimu. 1pet 4:9, Ebrania 13:2
********************


7. MudaMithali 31:13, 19, 27Hutumia muda wake vizuri na kuhakikisha anakamilisha kazi zake za kila siku. Kamwe hapotezi muda katika kufanya mambo ambayo hayampendezi Mungu na yasiyo na faida.
******************

8. Uzuri / UremboMithali 31:10, 21-22, 24Ni mrembo na mwenye thamani, ana uzuri wa ndani unatoka kwa Yesu Kristo. Anatumia ubunifu wake na utanashati wake kuleta uzuri katika maisha yake na ya watu wake.
Mungu atusaidie ili maisha yetu yaonyeshe kweli tunamjua na kumwamini yeye.

************************************************************
Amina kubwaa......maana kulitimiza hilo neno yahitaji nguvu za kutosha!!

Namsubiri na gfsonwin. RussianRoulette waje waongeze michango yao!
 
Last edited by a moderator:
Asante mwaya,
Mie nakubaliana kbs na wewe pamoja na FirstLady1,
Japo kwa kizazi chetu cha do.com hili some ni gumu kwa wengi wetu kulitekeleza kwa vitendo,
Ila huo ndio ukweli na ndivo inatupasa kuwa na kuacha mambo ya kidot com ya kutafuta usawa ambao kamwe haitatokea tukaupata,cha msingi ni kuwaheshim,kuwapenda na kubebeana mapungufu yetu na waume zetu,

Nashukuru mme wangu Rejao anipa sapoti ya kutosha kuimarisha ndoa yetu na hakika tunabebeana mapungufu yetu na hatuna mpango wa kuachana japo wavimba macho wengi wanajitahidi kutusambatarisha.
 
Last edited by a moderator:
A good example is my Mom i really admire and love her, she did quit her very good job to take care of us..we are seven..and all successfull, it all comes to commitment and dedication..we love you MOM..
 
Asante sana mtoa mada kwa maneno mazuri yenye hekima na upendo,nami sitasita kuongezea hapo kidogo..
Mwenyezi mungu atuwezeshe katika haya


1. Imani
Mithali 31:26, 29, 30Mke mwema anayashika na kuyafanyia kazi maneno ya Mungu na ni mtu ambaye anamtumikia Mungu kwa moyo wake wote na akili yake yote. Anatafuta makusudi ya Mungu katika maisha yake na kuyafuata. Zaburi 119;15
******************

2. NdoaMithali 31:11-12, 23, 28Mke mwema humuheshimu mume wake na anahakikisha anamtendea mambo mema siku zote za maisha yake. Ni wa kuaminika na msaidizi kwa mume wake. Efeso 5:22-24, 1Petro 3
*********************

3.MaleziMithali 31: 26, 28Mke mwema anawafundisha watoto wake njia za Mungu na pia anawatunza kwa upendo. Huwafundisha kwa hekima na kuwaelekeza njia iwapasayo kuiendea. Mithali 22:6
*************

4. HudumaMithali 31:12-15, 17, 20Mke mwema anamhudumia mume wake na familia yake yote kwa ukarimu na upendo. Anahakikisha wanapata chakula kilicho bora na chenye afya. Ni mtu mwenye huruma na ukarimu.
***************

5. MaliMithali 31:14, 16, 18Mke mwema anatafuta kwanza ushauri wa mumewe kabla ya kutumia fedha na pia anafanya manunuzi kwa hekima. Ni muangalifu kununua bidhaa zenye ubora kulingana na mahitaji ya familia yake.Efeso 5:23
******************

6. NyumbaMithali 31:15, 20-22, 27Mke mwema ni mtu anayeifanya nyumba iwe mahali pa kuishi. Anatengeneza mazingira ya kuvutia kwa familia yake na wageni wote na anawahudumia watu wake wote kwa ukarimu. 1pet 4:9, Ebrania 13:2
********************


7. MudaMithali 31:13, 19, 27Hutumia muda wake vizuri na kuhakikisha anakamilisha kazi zake za kila siku. Kamwe hapotezi muda katika kufanya mambo ambayo hayampendezi Mungu na yasiyo na faida.
******************

8. Uzuri / UremboMithali 31:10, 21-22, 24Ni mrembo na mwenye thamani, ana uzuri wa ndani unatoka kwa Yesu Kristo. Anatumia ubunifu wake na utanashati wake kuleta uzuri katika maisha yake na ya watu wake.
Mungu atusaidie ili maisha yetu yaonyeshe kweli tunamjua na kumwamini yeye.

************************************************************

Ubarikiwe mtoa mada naFirst lady
 
Amina kubwaa......maana kulitimiza hilo neno yahitaji nguvu za kutosha!!

Namsubiri na gfsonwin. RussianRoulette waje waongeze michango yao!

Asante SANA kwa kuniita dear Kipipi. Binafsi naamini kua Bibilia ina maneno mengi yenye busara ila sisi binadamu ndio tunachagua na kuyapa tafsiri inayo turidhisha hadi maneno yaonekane hayana maana (sometimes). Kila tunapo soma mistari ya Mungu, Tumuombe atupe mwangaza wa kuyaelewa haya maneno kama alivo taka tuyaelewe.

Mwanzo wa kila kitu ni upendo. Ikiwa ndoa ina upendo ndani yake hayo yote yanatiririka tu yenyewe, huhitaji manual kukukumbusha. Ila ndoa ikikosa upendo, mume akiwa mnyanyasaji au mke akiwa mnafiki (anae-fake upendo kwa mume wake) hata mke akifanya hayo yote ni bure sababu hayatokei moyoni mwake, ni unafiki mtupu.
 
Last edited by a moderator:
Asante mwaya,
Mie nakubaliana kbs na wewe pamoja na FirstLady1,
Japo kwa kizazi chetu cha do.com hili some ni gumu kwa wengi wetu kulitekeleza kwa vitendo,
Ila huo ndio ukweli na ndivo inatupasa kuwa na kuacha mambo ya kidot com ya kutafuta usawa ambao kamwe haitatokea tukaupata,cha msingi ni kuwaheshim,kuwapenda na kubebeana mapungufu yetu na waume zetu,

Nashukuru mme wangu Rejao anipa sapoti ya kutosha kuimarisha ndoa yetu na hakika tunabebeana mapungufu yetu na hatuna mpango wa kuachana japo wavimba macho wengi wanajitahidi kutusambatarisha.

Cantalisia,Ni kweli wengi wetu tunaweza kufikiri kuwa bible ni ngumu na haieleweki au haiko applicable...lakini ukweli ni kwamba kwa maisha ya sasa ndoa nyingi zinaparanganyika ..sasa utaiokoaje ndoa yako bila kumkosea Mungu?ndipo hapo ukibahatika kuikumbuka unaikimbilia.kiukweli neno na ahadi zilizomo mle hazijawahi kudanganya ikiwa utaamini bila shaka ndipo inakuwa nyepesi zaidi. inatubidi wale ambao ni waamini tuwahimize wenzetu ni jinsi gani mtu unaweza kujitetea dhidi ya huyu adui kabla hujaenda kuombewa nje na watumishi.
 
Asante sana mtoa mada, pia FirstLady1 nashukuru sana na ubarikiwe mno kwa haya. Kipipi nakushukuru sana kwa kuniita ili na mimi nitie langu japo dogo lakin litaongeza maarifa.

Kwanza kabisa ikumbukwe kuwa ndoa ni sehem ya ibada ambayo mtu anaweza kuitimiza akiwa hapa dunian. Tena Mungu aliiweka hii ndoa kuwa kitu kitakatifu sana ambacho kwa mapenzi yake mema alifanya ndoa kuwa chombo cha kufanya kazi ya uumbaji. Nafikiri kama watu wote wangepata kujua kuwa ndoa kama ilivyo Mungu kaifanya kuwakilisha utukufu wa Mungu duniani kwa kuruhusu tendo la ndoa kutumika kuumba kama alivyoumba yeye.

Sasa kwa kuyajua hayo yampasa mwanamke kuwa mwenye upole na upendo, anayeamka asubuhi kabla hakuja pambazuka na kuanza kuzipanga kazi za nyumbani kwake. Awe ni mtu anayelisha watu wake bila kunung'unika, awe ni mtu anayewavesha watu nyumbani kwakei. awe hodari katika kazi zote za mikono na apende kumtunza mumewe kwa uaminifu na mumewe huyu ajulikane aketipo barazani na wenzie. awe ni mtu mtu ambaye moyo wa mumewe humwamini na kamwe hatakosa mapato ya mikono yake.

BABA yampasa kuwa mtu anayeipenda familia yake, awe tayari kuihudumia pasipo kuchoka, apende kuona watu wa nyumbani kwake wanafuraha na amani muda wote. Tena asiwe mlevi, wa mtu wa kuhadaiwa na mwanamke malaya, atamani sikuzote kuona mkewe na watoto wanastawi.
MziziMkavu Asprin, Nyaningabu, Mr Rocky nk mnayatimiza hayo kwa familia zenu? mko responsible juu ya wake na watoto wenu wanakula nini wana lala wapi na wanaish vipi? hizi ndizo quality za baba bora. jitahmin mtuambie kama ninyi ni akina baba bora au ni bora baba. Tena mtuletee jibu hapa.
Tena ikumbukwe upendeleo hudanganya kuwaandalia watu wa nyumbani kwake
 
upendo ni KUTIIANA. unitii na mimi nikutii!

Asante sana mtoa mada, pia

FirstLady1
nashukuru sana na ubarikiwe mno kwa haya.
Kipipi
nakushukuru sana kwa kuniita ili na mimi nitie langu japo dogo lakin
litaongeza maarifa.

Kwanza kabisa ikumbukwe kuwa ndoa ni sehem ya ibada ambayo mtu anaweza
kuitimiza akiwa hapa dunian. Tena Mungu aliiweka hii ndoa kuwa kitu
kitakatifu sana ambacho kwa mapenzi yake mema alifanya ndoa kuwa chombo
cha kufanya kazi ya uumbaji. Nafikiri kama watu wote wangepata kujua
kuwa ndoa kama ilivyo Mungu kaifanya kuwakilisha utukufu wa Mungu
duniani kwa kuruhusu tendo la ndoa kutumika kuumba kama alivyoumba yeye.

Sasa kwa kuyajua hayo yampasa mwanamke kuwa mwenye upole na upendo,
anayeamka asubuhi kabla hakuja pambazuka na kuanza kuzipanga kazi za
nyumbani kwake. Awe ni mtu anayelisha watu wake bila kunung'unika, awe
ni mtu anayewavesha watu nyumbani kwakei. awe hodari katika kazi zote za
mikono na apende kumtunza mumewe kwa uaminifu na mumewe huyu ajulikane
aketipo barazani na wenzie. awe ni mtu mtu ambaye moyo wa mumewe
humwamini na kamwe hatakosa mapato ya mikono yake.

BABA yampasa kuwa mtu anayeipenda familia yake, awe tayari kuihudumia
pasipo kuchoka, apende kuona watu wa nyumbani kwake wanafuraha na amani
muda wote. Tena asiwe mlevi, wa mtu wa kuhadaiwa na mwanamke malaya,
atamani sikuzote kuona mkewe na watoto wanastawi.

MziziMkavu

Asprin,

Nyaningabu,
Mr
Rocky
nk mnayatimiza hayo kwa familia zenu? mko responsible
juu ya wake na watoto wenu wanakula nini wana lala wapi na wanaish vipi?
hizi ndizo quality za baba bora. jitahmin mtuambie kama ninyi ni akina
baba bora au ni bora baba. Tena mtuletee jibu hapa.
Tena ikumbukwe upendeleo hudanganya kuwaandalia watu wa nyumbani
kwake
 
Asante sana mtoa mada, pia FirstLady1 nashukuru sana na ubarikiwe mno kwa haya. Kipipi nakushukuru sana kwa kuniita ili na mimi nitie langu japo dogo lakin litaongeza maarifa.

Kwanza kabisa ikumbukwe kuwa ndoa ni sehem ya ibada ambayo mtu anaweza kuitimiza akiwa hapa dunian. Tena Mungu aliiweka hii ndoa kuwa kitu kitakatifu sana ambacho kwa mapenzi yake mema alifanya ndoa kuwa chombo cha kufanya kazi ya uumbaji. Nafikiri kama watu wote wangepata kujua kuwa ndoa kama ilivyo Mungu kaifanya kuwakilisha utukufu wa Mungu duniani kwa kuruhusu tendo la ndoa kutumika kuumba kama alivyoumba yeye.

Sasa kwa kuyajua hayo yampasa mwanamke kuwa mwenye upole na upendo, anayeamka asubuhi kabla hakuja pambazuka na kuanza kuzipanga kazi za nyumbani kwake. Awe ni mtu anayelisha watu wake bila kunung'unika, awe ni mtu anayewavesha watu nyumbani kwakei. awe hodari katika kazi zote za mikono na apende kumtunza mumewe kwa uaminifu na mumewe huyu ajulikane aketipo barazani na wenzie. awe ni mtu mtu ambaye moyo wa mumewe humwamini na kamwe hatakosa mapato ya mikono yake.

BABA yampasa kuwa mtu anayeipenda familia yake, awe tayari kuihudumia pasipo kuchoka, apende kuona watu wa nyumbani kwake wanafuraha na amani muda wote. Tena asiwe mlevi, wa mtu wa kuhadaiwa na mwanamke malaya, atamani sikuzote kuona mkewe na watoto wanastawi.
MziziMkavu Asprin, Nyaningabu, Mr Rocky nk mnayatimiza hayo kwa familia zenu? mko responsible juu ya wake na watoto wenu wanakula nini wana lala wapi na wanaish vipi? hizi ndizo quality za baba bora. jitahmin mtuambie kama ninyi ni akina baba bora au ni bora baba. Tena mtuletee jibu hapa.
Tena ikumbukwe upendeleo hudanganya kuwaandalia watu wa nyumbani kwake
@gfsonwin mke wangu na Watoto wangu ni kitu muhimu sana katika maisha yangu hio kwangu halina matatizo nawaangalia sana familia yangu.
 
Back
Top Bottom