Recent content by bullbar

  1. bullbar

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Watu tuna pima uzito mpaka mzani unaandika to be continued...
  2. bullbar

    JamiiForums Tanzania Sarakasi za usafiri wa umma Dar ni ishara tulivyo na viongozi wenye upeo mdogo sana.

    Ili ukanifunze inabidi uwe akili..sasa hizo akili zenyewe hawana watajifunza nn
  3. bullbar

    JamiiForums Tanzania Indegazette: Tume ya Lila Yakabiliwa na Mtihani wa Kubaini Waliowezesha Vurugu za Uchaguzi Tanzania

    Ng'ombe yakhe kisu yakhe !
  4. bullbar

    JamiiForums Tanzania Japan imeunda shati lenye feni (AC) linalotoa baridi ukiwa juani

    Sisi bado tupo busy na mabanda ya kuku wa mayai kwa kuweka maranda ili yasipasuke..
  5. bullbar

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    wewe mbona kama unanisema mimi 😂, yani hilo tatizo limekuwa chronic kwangu, yani unakuta nina ahadi na mtu saa mbili asubuhi na naweza amka saa kumi na moja lkn najikuta lazima nichelewe tu..na nikijikuta nimewahi lazima nntajikuta natafuta tu kitu kitakacho nichelewesha tuu
  6. bullbar

    JamiiForums Tanzania Mlitudanganya wadada wembamba warefu wana papuchi kubwa.

    Nyie ndio mnatukanisha wakazi wa kinondoni...utaskia kinondoni kuna watu wa hovyo na wasio na akili, sababu yenu.
  7. bullbar

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Umekisoma ulicho kiandika?
  8. bullbar

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    K Kumbe msoga kahama..
  9. bullbar

    JamiiForums Tanzania Siwezi kulala njaa inauma, nipo ugenini

    Yote hayo...mi nilijishaua siku moja kumuunga mkono waifu kufungaa kwaresma..wee mbona ilipofika saa tano asubuhi tuu naona wana wa israel..
  10. bullbar

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    mh! haya maisha haya..yani nimeandika na kufuta zaidi ya mara tano..anyways kila kheri!
  11. bullbar

    JamiiForums Tanzania Je, una Changamoto Yoyote Ya Afya Kinywa na Meno!? Ikiwepo kukosa meno !? Suluhisho hili hapa

    Gharama zenu ziko vp
  12. bullbar

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Mungu nifundishe kunyamaza...
  13. bullbar

    JamiiForums Tanzania Ombi la Kuimarisha Usalama Machinjioni Kibaha

    Huo muda wakukusikiliza kero basi wanao kakaaa....we waambie tuu kama formality,, wenzio wapo busy na magaidi na maandamano ya CHADEMA
  14. bullbar

    JamiiForums Tanzania Kwanini unamng'ang'ania mpenzi aliyekuacha?

    Unaweza mwaga ubongo hapoukijifanya hujui kushiba
  15. bullbar

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Ninge changia ila ndio vile dadayako naye yumo humu..
Back
Top Bottom