Recent content by bullbar

  1. bullbar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ubaya wa kuwa baba wa kambo ni kwamba kila ukimtazama mtoto wa mwenyewe ndani kwenu unaanza kukumbuka bao la mwanaume mwenzako

    Sidhani kama ni sahihi kuwaza hivyo..unanikumbusha kisa kimoja very sensitive. Kwenye makuzi ya ukuaji wangu nilibahatika kupata mtoto wangu wa kwanza kwa binti flani hivi mwenye asili ya huko kaskazini mwa nchi..sasa bwana ile ilikuwa ni starehe tu mimi nikaenda na mishe zangu tuu, ila...
  2. bullbar

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka vituko vya utawala wa Idd Amin Dada kwenye utawala wake

    Hata ule msemo wa hu a yu alikuwa anaupenda sana ...
  3. bullbar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serengeti Boys imevunja kambi yake leo Juni 5 lakini hawajapewa Tsh. Milioni 500 walizoahidiwa na Rais Samia

    Nina mashaka na uenyeji wako ndani ya Tanzania..hivi nchi hii unaweza kuwa na imani nayo kweli ndugu mwandishi?
  4. bullbar

    JamiiForums Tanzania Tujifunze jambo hapa kutoka kwa R. Kelly na P. Diddy

    Alafu walivyolowa jasho sasa...
  5. bullbar

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Air Tanzania kuanza safari Dar es salaam–Moscow (Urusi) kuanza Julai 02, 2026

    kwa shirika lipi kwanza...
  6. bullbar

    JamiiForums Tanzania Serikali Haitavumilia Kupuuzwa Haki za Wananchi

    ..Mungu nifundishe kunyamaza
  7. bullbar

    JamiiForums Tanzania Augustino Lissu, mtoto wa Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress

    nlitaka nimalize ATP zangu bure.. kumbe aliye post ni nyani
  8. bullbar

    JamiiForums Tanzania AFRIKA KUSINI: Meja Jenerali afukuzwa Kazi kwa Utovu wa nidhamu na kuliaibisha Jeshi la Polisi

    Hapa kwetu hatua za hivyo zikichukuliwa hakutakuwa na askari hara mmoja vituoni..
  9. bullbar

    JamiiForums Tanzania Naendelea kuwaambia

    ..utakuwa umechanganya kidogo ni ya kumi na episode ndio ya tisa..
  10. bullbar

    JamiiForums Tanzania Iran yatishia kuishambulia Israel endapo Beirut itashambuliwa na Israel

    😂😂 kama Tanzania inavyoitesa Marekani...
  11. bullbar

    JamiiForums Tanzania Siasa za kumtaja Rais na kumsifia kila mahali hadi kwenye michezo zinaisaidiaje nchi?

    nchi ina ujinga mwingi hii wewe...
  12. bullbar

    JamiiForums Tanzania Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

    Hebu tulia kwanza..usiandike as if tunashare wote ubongo...
  13. bullbar

    JamiiForums Tanzania Shida inacheza Serengeti, then anasifiwa mtu huko kuwa yeye kaifikisha hapo

    utadhani wanaemsifia alikuwa fullback..
  14. bullbar

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ukiibiwa au kupoteza simu yako, mamlaka za usalama zinaweza kukusaidia kuipata kwa wakati muafaka au ni kuhesabu hasara tu?

    kama watu tuu hawapatikani sembuse simu...
Back
Top Bottom