ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,437
- 126,615
Ni mimi peke yangu sijui hizo mbinušHahhaa wazee wa sikuhizi mna mbinu!
Ni mimi peke yangu sijui hizo mbinušHahhaa wazee wa sikuhizi mna mbinu!
NitakufunfishašNi mimi peke yangu sijui hizo mbinuš
Naomba uzingatie mda katika zoezi lako la kunifundisha, usichelewe sana!!Nitakufunfishaš
Nasuburi ukifunga sabato babu!šNaomba uzingatie mda katika zoezi lako la kunifundisha, usichelewe sana!!
Kuna watu hawanenepi hata wangekula nyama ya mtu kila siku. Sijui hii inatokana na niniKula kitimoto na bia
Mwezi mmoja tu kitambi unapata
Nishamalizana nayo muda, ni mwendo wa ya dunia sasaNasuburi ukifunga sabato babu!š
Sisi wenye kg 56 tusemejeIlaa
Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kgš¤š¤
Sikuizi napambana walau nipungue nifike Tu 70kg (ndio imekuwa my dream weight š„ŗš„ŗ).. Yaani nacheza kwenye 86, 87 nikizubaa kidogo Tu 90 hii Hapa š©š©
Kuna kipindi nilijipangia ratiba nzuri Tu nikawa nafanya mazoezi kila siku, baadhi ya vyakula nikaacha na fasting siku2 kila wiki,. Ila ukipima unakuta ndio Kwanza umeongezeka kila Mbili au tatu badala ya kupungua... I gave up
Kuna nguo zangu nilikua navaa zamani saizi naziangalia Tu nabaki kutikisa kichwa kwa huzuni,.
Watu sasa wakianza kukwambia "umenenepaaaa" hata kujipost nowadays naogopa ikibidi sana napost pictures za zamani kwasabu watu lazima wanotice and I can't take it as a compliment šš
ššš
Sasa hivi niko huku nishapoteza kumbukumbu babu sijui hata nakuelekezje naongea vingeredha tušNishamalizana nayo muda, ni mwendo wa ya dunia sasa
Mwanamke na tungi, noma sana!Sasa hivi niko huku nishapoteza kumbukumbu babu sijui hata nakuelekezje naongea vingeredha tuš
Pokea simu nikupe mbwinuš šSijawahi vuka kilo 58. Nifanyaje ninenepe aisee, nikinenepa nanenepa mashavu tu.
Bonge Lily Tony msaada please
View attachment 3650216
Naomba namba yako mkuu nipate mbinu mpya labda naweza pata mwiliPokea simu nikupe mbwinuš š
Halafu baadae utataka mbinu za kupungua we baki hivyo hivyo mkuu !Naomba namba yako mkuu nipate mbinu mpya labda naweza pata mwili
Watu tuna pima uzito mpaka mzani unaandika to be continued...Ilaa
Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kgš¤š¤
Sikuizi napambana walau nipungue nifike Tu 70kg (ndio imekuwa my dream weight š„ŗš„ŗ).. Yaani nacheza kwenye 86, 87 nikizubaa kidogo Tu 90 hii Hapa š©š©
Kuna kipindi nilijipangia ratiba nzuri Tu nikawa nafanya mazoezi kila siku, baadhi ya vyakula nikaacha na fasting siku2 kila wiki,. Ila ukipima unakuta ndio Kwanza umeongezeka kila Mbili au tatu badala ya kupungua... I gave up
Kuna nguo zangu nilikua navaa zamani saizi naziangalia Tu nabaki kutikisa kichwa kwa huzuni,.
Watu sasa wakianza kukwambia "umenenepaaaa" hata kujipost nowadays naogopa ikibidi sana napost pictures za zamani kwasabu watu lazima wanotice and I can't take it as a compliment šš
ššš
Hizo habari za kutaka kupungua zitajilikana baadae ila kwa sasa nataka nipate mwiliHalafu baadae utataka mbinu za kupungua we baki hivyo hivyo mkuu !
Nakuhurumia sana mwili unaweza kuja ukauchukia mimi nilikua na kg 102Hizo habari za kutaka kupungua zitajilikana baadae ila kwa sasa nataka nipate mwili
Naomba muongo zifike japo 60Nakuhurumia sana mwili unaweza kuja ukauchukia mimi nilikua na kg 102
Niliteseka kupungua sana now nipo 80na ushee na bado natamani kupungua zaidi
Ila nitakupa muongozo š
Nitumie Soft copy ya kitabu unachopenda sana na mimi nitakupa muongozo hakuna cha bure mkuuNaomba muongo zifike japo 60
You got it. Ushindwe mwenyewe kusoma kipo hapa hapa jf nilikianzishia uziNitumie Soft copy ya kitabu unachopenda sana na mimi nitakupa muongozo hakuna cha bure mkuu
Asante šnitapita hukošYou got it. Ushindwe mwenyewe kusoma kipo hapa hapa jf nilikianzishia uzi
Salute mate..
Huko china miaka ya 544BC alizaliwa bwana mmoja anaitwa Sun Wu, huyu bwana alikua jenerali wa jeshi la uchina ya zamani. Anafahamika zaidi kama Sun Tzu, alikua ni mtaalamu wa mikakati ya kijeshi. huyu jama aliandika kitabu kimoja kinaitwa The Art of War, kitabu hichi ni maarufu sana hopefully humu ndani wengi wanakifahamu...Kitabu hichi kinaelezea mikakati ya kijeshi jinsi ya kutumia wapelelezi, jinsi ya kuweka mikakati ya kumshinda adui yako.
kitabu hiki kinatumiwa na majeshi mengi duniani katika medani za kijeshi lakini pia watu wa kawaida hua...