Unaweza mwaga ubongo hapoukijifanya hujui kushiba
Wewe utakua Umechanganya mafile,huyu namna nampeleka najua hata amekunywa maji saa ngapi.Invyolata mbona hata mimi nimepiga pale? Najua kilichokuchanganya zaidi ni ile rangi tu 😀
Nimechoka kula kuku za kilingeni halafu nakuvumilia unaleta roho mbaya unamtengaje shemeji unajipata kweli??Dah! hii ni copy and paste ya babe wangu wa zamani SweetyCandy! Baada ya kunimwaga, nimebakia kuwa mlevi wa kutupwa kutokana tu na maumivu mengi moyoni.
Mimi sasa hivi nipo single 💔
Siku si nyingi nitakuja na uzi wa kutafuta mwanamke mwenye umbo kama hili la SweetyCandy
HAjaolewa huyuu sasa presha ya nini??
Si kweli jikumbushie mafaili ya mwaka jana ulimwambia babu naomba hela ya kununua nondoo ukasema ni laki 3 so usijifanye umesahau .Naona leo upo mwezi mchanga kama kawaida yako