Recent content by bukedde

  1. B

    Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)

    Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)
  2. B

    Hivi kwanini vitoto vidogo vya Dar huwa havisalimii watu wazima?

    Hili suala nimelishuhudia na nimewahi kulifikiria pia. yan unakuta mtoto mdogo mnaishi nyumba moja lakini hakusalimii. Wakati mwingine unamtembelea mtu nyumbani kwake unafika pale watoto hawakusalimii, wanakutizama tu. Wazazi fundisheni watoto nidhamu, hata kama hasalimii njiani shauri ya watu...
  3. B

    Ni mara 20 zaidi kufaidika kiuchumi na elimu ya VETA kuliko shahada/shahada ya uzamili

    Unapuuza elimu kubwa katika muktadha wa ajira pekee. ulipaswa usifie veta bila kupuuza elimu kubwa. Kokote kule duniani elimu unayoipuuza ndio ya muhimu kuliko unayoitaja wewe. Veta wako vizuri wanaandaa artisans wazuri ila maisha yana vitu vingi sana acha kuwa general kwa kujibana kwenye eneo dogo
  4. B

    Huenda Rais Magufuli akawa ameumaliza rasmi ule ubishi wa Chuo Kikuu gani bora kati ya SAUT na UDSM

    Unasema UDSM ilikuwa zamani sasa limebaki jina tu, eb tueleze hao unaosema wanatukanwa pumbavu na rais walisoma UDSM ipi, je ni hii unayoisema imebaki jina au ni ile iliyotengeneza jina. Mi naona kusema UDSM imebaki jina kwa kutumia mfano wa Kabudi ambaye kasoma pale UDSM ikiwa hot zaidi ya sasa...
  5. B

    Katika Matajiri wetu 10 wa juu Tanzania, hakuna aliyesoma Chuo Kikuu ndani ya nchi! Uchumi wetu unategemea elimu za nje, kwanini?

    Tatizo sio kukanyaga chuo kikuu cha Tanzania ama la, Suala la mtu kuwa millionaire sio la kujadiliwa kwa point ya chuo. tunao watanzania wengi tu ambao hawajakanyaga vyuo vya Tanzania na sio mamilionaire, ingekuwa kusoma huko walikosoma kina Mengi na wengine ndio sababu pekee iliyowafanya wawe...
  6. B

    Ushauri wangu kwa Waziri Prof Mbarawa juu ya changamoto na "uozo" wa Uwanja wa ndege wa JNIA

    Ndio Strong individuals tumejaliwa lakin strong institutions ndio tumekosa
  7. B

    Simu za mikononi katika Mahusiano | Mwenendo wa Walezi/Wazazi kwenye familia

    Mitandao ya kijamii hasa hasa ndio imewafanya watu kuwa watumwa wa simu zao, ni wakati sasa wa kuweka kwenye mitaala kuhusu matumizi chanya ya simu na mitandao ya kijamii. Jamii inaangamia, tatizo linazidi kuwa kubwa kila kukicha. Leo hii mtu hahitaji kuzungumza lolote na mtu wanayesafiri naye...
  8. B

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    nilipata shida ila kwa sasa nimeshazoea kabisa na niko comfortable na kozi ninayosoma na ndio naelekea kumaliza sasa nilifeel bad mwanzo ila kwa sasa niko vizur i dont feel bad at all
  9. B

    Kati ya UDOM na UDSM chuo kipi kinafaa

    UDSM is the best university in TANZANIA and it is among the best universities in Africa mtu akikushauri kisa ana chuki na UDSM utapotea na wengi wanaochukia UDSM ni waliokosa nafasi hiyo ya kusoma pale japo walihitaji anayesema UDSM ni bora sio walimu wala wafanyakazi wa UDSM Namaliza UDSM is...
  10. B

    Mobile barbershop, karibuni kwa huduma nzuri

    hongera kwa wazo zuri ongeza juhudi kwenye kulitangaza
  11. B

    Naomba kujua taratibu za kuomba kudahiliwa katika vyuo vikuu

    kwa kuwa mwaka huu maombi yatafanyika chuoni moja kwa moja kuna uwezekano gharama zisifanane kutoka chuo kimoja hadi kingine hivyo basi jaribu kutembelea page za vyuo unavyovihitaji ili uweze kujua gharama kwa mwaka jana maombi yalikuwa direct kwa TCU na gharama ilikuwa Tshs 50,000/= na ulikuwa...
  12. B

    Naomba kujua taratibu za kuomba kudahiliwa katika vyuo vikuu

    hii bei sio ya kujiunga na chuo kikuu labda kama unazungumzia level nyingine mara ya mwisho admission ya chuo kikuu ilikuwa 50,000/=Tshs
  13. B

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    ndio hivyo kijana nilikosa pia kozi hio japo niliitaka watu 25 waliochaguliwa kwenye kozi hiyo walinizid point moja tu na wengine waliosalia walinizid alama 15 walinizid point mbili yupo rafik yang aliyekuwa na alama sawa na hao 25 na sio yeye tu na wengine pia ila wakapnzwa na herufi za mwanzo...
  14. B

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    ufaulu wako ni mzuri. hongera sana ila tu kumbuka kama una CDC kuna watu hata zaidi ya mia wenye CCC wenye lengo kama lako na utaratibu wa chuo ulivyo huwez kupata nafasi kama mtu mwingine ameomba nafasi unayoitaka na amekuzid matokeo kozi hiyo kwa nchi hii ipo COET-UDSM pekee na admission...
  15. B

    Naomba ufafanuzi; ukisoma International relations unaweza kufanya kazi gani?

    Jitupe tu kijana maana almost every company and organizations zinakuwa na mtu wa internation relations Pia organization za umoja wa mataifa kama UNICEF, UNDP,UNHCR zinafanya kazi na watu hawa pia Lakini kumbuka kunaweza kukawa na nafasi inayohitaji mtu wa internation relation lakini...
Back
Top Bottom