Heri ya Mwaka mpya kwa wote hapa.
Hoja yangu ni moja tuu kwa nini kila tukinunua umeme na maji tunakatwa percentage flani kwa ajili ya Taasisi zingine za Serikali? madhalan EWURA
EWURA inafanya kazi gani mbona huduma na kiwango(quality) ya maji katika mamlaka nyingi za maji ni mbovu?
Ni...
Nguo ya kuazima Haisitiri mat***
Nadhani Mitambo ya IPTL itaifishwe
Hawawezi kuchukua mpunga mrefu vile kwenye ESCROW Acc. lakini sisi TZ tuendelee kudaiwa.
Hao wazee watamalizia uzee wao Jela hakuna namna
Politics is always a tough subject.....that’s why one Donald Trumps tweet can plunder whole streen stock Market..anyway back to the topic
A admire this administration but it lacks some sort of qualities in democracy including “uvumilivu Wa kisiasa,demokrasia imerudi tena nyuma kwa hii...
Kwa nini upewe wakati una akili,miguu,mikono na una nguvu......hapa tuu ndo sielewagi wanawake!
Inabidi upambane na hali yako ukikwama uombe akusaidie..
It has been a while mimi kuingia na kukuta Resource full info nzuri hivi
Asante sana mtoa mada,ni mimi nipo interested for sure...Labda kuelewa zaidi hii ,i need to do my homework first...
This was the best move for our President JPM hiyo smelting plant waifunge hapa hapa Tanzania.
Najua watasema return period ya hayo madini ardhini ni ndogo compared to cost za kuifunga but bado tunaendelea kufanya exploration maeneo mengine Tanzania tumebarikiwa sana na Madini so huo mtambo...
Huyu ilitakiwa afanye mawasiliano ya ndani kwanza Wizara na wakubwa wengine wawe informed ndo aje kwetu wanahabari na jamii kwa ujumla
Maana imeshaanza kuzua taharuki kumbe tuu ilikuwa ni viashiria vya Zika na Sio Zika yenyewe
Wakuu ni IPhone 4S but haikubali kuhifadhi files za Audio ila kusikiliza nasikiliza vizuri tuu mfano nyimbo
Hili ni tatizo Au ni setting na Kama Ni settings Au tatizo nifanyeje?
Kuna kitu kinaitwa obsession
Especially kwa kinadada ambao hawako busy na kaZi zao.....Kama upo busy na kazi zako,biashara zako au mishe zingine hayo yanatoka wapi
Maana asubuhi mnaagana kazi njema sawa
Mchana ikifika unamuambia mwenzio lunch time Kama upo karibu na free tukakule wote baada...
Kipindi CHA nyuma mpaka miaka ya 2000 mwanzoni tumeingia Chuo Kwa points Kama hizo cutoff points nakumbuka ilikuwa minimum D's Tena UD unapata nafasi Kwa mbinde
Hayo mambo yalikuja kubadilikA wakati wa JK na mambo yake ya VODAFASTA kilichofanyika ni kurudisha Ule utaratibu wa mwanzo uliokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.