cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,701
- 73,281
Salamu kwako, Jamani mawasiliano, mawasiliano, mawasiliano why #matatizo huwa hayaishi?
Mimi nimekuwa nashindwa kuelewa juu ya mawasiliano kati ya wanaume na wanawake hadi leo sababu yana mengi, ila naamini wewe utaweza kuandika yako ikasaidia kuelewa.
Kwa kweli nikiongea na marafiki zangu tukitoka tunakaa chini, hata sehemu za pembezoni mwa ziwa huku napoishi na upepo mzuri bado malalamiko ya kila aina hayaishi. Ukweli ni kama mpo 10 basikila mtu na malalamiko yake, lazima kuna kitu lazima...sababu gani mnafanya haya kuumiza wanawake?
Hii ni kwa walio single, walio married, walio separate n.k.
1. Mnapenda mawasiliano ya aina gani na wenza wenu mke/mchumba/girlfriend?
2. Ni nini kinakusumbua kichwa ukiona katika mawasiliano mwanamke anafanya sana na haupendi? unamweleza au unaacha hivyo lililo na liwe? au unamkimbia?
3. Kama mwanaume wewe hupendi mawasiliano na mwenza wako akajitahidi kufanya hivyo, je kumkalia kimya au kuandika vineno viwili vitatu na kutokumjibu mengine ni sawa?
4. Mume unatoka ndani unachelewa, wala haufikirii kumpa taarifa mwenzako, hata ka message hapana, hata basi simu ya sekunde 25 hupigi kwa nini?
5. Mwanaume umekaa unadai unampenda girlfriend wako, ila mawasiliano mabaya upo kama haupo. unalalamikiwa anasema inamuumiza wewe hujali eti upo busy. Hii imekaaje kwenu? sababu ni nini?
6. Ukiwa haupendi kutumiana message na haujaribu njia ingine, only kusubiri uandikiwe ndio hujibu hiyo imekaaje na reasons zako ni nini?
7. Mwingine unakaa unamwambia mwenzako kuwa hupendi kuwasiliana, ila ukianza kuchat hata na wanawake marafiki unakuwa unajua kuandika kama cherehani. hii inakuwaje unamuumiza mwenza hivi? hapo anajua au anasikia au anaona. Hata ndugu zake unafanya hivyo bila shida, ila ikija kwake unadai unampenda mapenzi mengi bali mawasiliano sifuri kama vile unasukumwa, ni nini kinachojiri kwako
8. Wanaume mnapenda kusumbua wanawake wawapende, mkiwapata tu mnaanza habari nyingi kama upo busy sana hata kusema kwa wiki mbili tatu utakuwa busy. Ukipata mkakubaliana mahusiano unabadilika, unakuwa sio yule msumbufu hata salamu hutoi asubuhi hapo mnaishi nyumba tofauti. Inakuwaje hivyo umfanyie mwenza hayo na hausemi sabau bali kuishi kuumiza roho ya mtu
9. Mwanaume anasema kwa mwenza nitakupigia, inapita mawiki hata siku moja hajawahi kupiga hata missed call kutokea ika ukasema alikukumbuka, ni nini hupendi kama uko hivi sababu nini?
10. Mwingine yake ni huko kwenye viber sijui imo, anatuma message kwa mpenzi anajibiwa. akiandika tena hata kuaga au kuuliza kitu, basi hajibiwi tena na hapo anaona mtu yupo online. Na baadae anaweza kuona mtu yupo online lakini wapi anauchuna..je ni hataki aandikiwe tena au anaona anasumbuliwa? je ni nini kama sio kuonyesha dharau, kweli unapata notification then unaiacha hata not read for over thre days hata wiki. mwanaume ni nini kinajiri?
11. kwa wewe unayependa kutoa sababu mia, mia mbili, kwanini yote hayo?
...
nimejaribu kuandika ila napenda sana kujua ni nini kinawaudhi katika mawasiliano zaidi ya hayo nimejaribu kuweka juu niliyosikia kutoka kwa wenzangu.
Nitafurahi sana mkinielewesha kwanini mawasiliano mnakuwa na mengi,
kama hamtaki mnajisikiaje kitu umesema hupendi mwanamke bado anafanya?
Kwanini usimwambie hutaki tena mawasiliano?
je unakuwa unakaa sababu kuna kitu unatakakutoka kwake?
Je haufurahii kuwa yeye kakuwaza anataka kujua unaendeleaje na ndio maana anakutafuta kwa simu kuongea nawe au kutuma message?
mnisamehe kwa mengi, ila nimeishi na haya nasikia naona na naomba mnijuze nijue naamini wengi pia wanataka kujua mengi juu ya mawasiliano, kiini kikubwa cha uhusiano wa mapenzi.
ni miezi imenichukua kuja kuandika haya, hata mwenzangu husema hana majibu kila mtu ana yake...hayo yako ni yapi... Natanguliza shukurani
Mimi nimekuwa nashindwa kuelewa juu ya mawasiliano kati ya wanaume na wanawake hadi leo sababu yana mengi, ila naamini wewe utaweza kuandika yako ikasaidia kuelewa.
Kwa kweli nikiongea na marafiki zangu tukitoka tunakaa chini, hata sehemu za pembezoni mwa ziwa huku napoishi na upepo mzuri bado malalamiko ya kila aina hayaishi. Ukweli ni kama mpo 10 basikila mtu na malalamiko yake, lazima kuna kitu lazima...sababu gani mnafanya haya kuumiza wanawake?
Hii ni kwa walio single, walio married, walio separate n.k.
1. Mnapenda mawasiliano ya aina gani na wenza wenu mke/mchumba/girlfriend?
2. Ni nini kinakusumbua kichwa ukiona katika mawasiliano mwanamke anafanya sana na haupendi? unamweleza au unaacha hivyo lililo na liwe? au unamkimbia?
3. Kama mwanaume wewe hupendi mawasiliano na mwenza wako akajitahidi kufanya hivyo, je kumkalia kimya au kuandika vineno viwili vitatu na kutokumjibu mengine ni sawa?
4. Mume unatoka ndani unachelewa, wala haufikirii kumpa taarifa mwenzako, hata ka message hapana, hata basi simu ya sekunde 25 hupigi kwa nini?
5. Mwanaume umekaa unadai unampenda girlfriend wako, ila mawasiliano mabaya upo kama haupo. unalalamikiwa anasema inamuumiza wewe hujali eti upo busy. Hii imekaaje kwenu? sababu ni nini?
6. Ukiwa haupendi kutumiana message na haujaribu njia ingine, only kusubiri uandikiwe ndio hujibu hiyo imekaaje na reasons zako ni nini?
7. Mwingine unakaa unamwambia mwenzako kuwa hupendi kuwasiliana, ila ukianza kuchat hata na wanawake marafiki unakuwa unajua kuandika kama cherehani. hii inakuwaje unamuumiza mwenza hivi? hapo anajua au anasikia au anaona. Hata ndugu zake unafanya hivyo bila shida, ila ikija kwake unadai unampenda mapenzi mengi bali mawasiliano sifuri kama vile unasukumwa, ni nini kinachojiri kwako
8. Wanaume mnapenda kusumbua wanawake wawapende, mkiwapata tu mnaanza habari nyingi kama upo busy sana hata kusema kwa wiki mbili tatu utakuwa busy. Ukipata mkakubaliana mahusiano unabadilika, unakuwa sio yule msumbufu hata salamu hutoi asubuhi hapo mnaishi nyumba tofauti. Inakuwaje hivyo umfanyie mwenza hayo na hausemi sabau bali kuishi kuumiza roho ya mtu
9. Mwanaume anasema kwa mwenza nitakupigia, inapita mawiki hata siku moja hajawahi kupiga hata missed call kutokea ika ukasema alikukumbuka, ni nini hupendi kama uko hivi sababu nini?
10. Mwingine yake ni huko kwenye viber sijui imo, anatuma message kwa mpenzi anajibiwa. akiandika tena hata kuaga au kuuliza kitu, basi hajibiwi tena na hapo anaona mtu yupo online. Na baadae anaweza kuona mtu yupo online lakini wapi anauchuna..je ni hataki aandikiwe tena au anaona anasumbuliwa? je ni nini kama sio kuonyesha dharau, kweli unapata notification then unaiacha hata not read for over thre days hata wiki. mwanaume ni nini kinajiri?
11. kwa wewe unayependa kutoa sababu mia, mia mbili, kwanini yote hayo?
...
nimejaribu kuandika ila napenda sana kujua ni nini kinawaudhi katika mawasiliano zaidi ya hayo nimejaribu kuweka juu niliyosikia kutoka kwa wenzangu.
Nitafurahi sana mkinielewesha kwanini mawasiliano mnakuwa na mengi,
kama hamtaki mnajisikiaje kitu umesema hupendi mwanamke bado anafanya?
Kwanini usimwambie hutaki tena mawasiliano?
je unakuwa unakaa sababu kuna kitu unatakakutoka kwake?
Je haufurahii kuwa yeye kakuwaza anataka kujua unaendeleaje na ndio maana anakutafuta kwa simu kuongea nawe au kutuma message?
mnisamehe kwa mengi, ila nimeishi na haya nasikia naona na naomba mnijuze nijue naamini wengi pia wanataka kujua mengi juu ya mawasiliano, kiini kikubwa cha uhusiano wa mapenzi.
ni miezi imenichukua kuja kuandika haya, hata mwenzangu husema hana majibu kila mtu ana yake...hayo yako ni yapi... Natanguliza shukurani