Heri ya Mwaka mpya kwa wote hapa.
Hoja yangu ni moja tuu kwa nini kila tukinunua umeme na maji tunakatwa percentage flani kwa ajili ya Taasisi zingine za Serikali? madhalan EWURA
EWURA inafanya kazi gani mbona huduma na kiwango(quality) ya maji katika mamlaka nyingi za maji ni mbovu?
Ni mamlaka chache sana za maji mtu anaweza chota maji kwenye bomba akanywa direct.
Swala lingine ni umeme kukatika katika na kuharibu vifaa vya Watu EWURA wanalindaje wananchi dhidi ya mtoa huduma TANESCO?
Mimi kwa maoni yangu naona huu utitiri wa taasisi zinazonyonya mwananchi ni vema zingetolewa au kuunganishwa maana hazina tija.
Ukiangalia kwa sasa wamegeukia mafuta tuu kila baada ya siku kadhaa kupanga bei.....hivi hatuwezi kuwa na stock hata ya miezi 6 bei ya mafuta ikabaki constant walau kwa muda flani? Madhalan miezi 6 hivi hii itawezesha wengi kuweza kupanga vema especially wale Wa sekta za usafirishaji na uzalishaji viwandani!
Nimeongea tuu mawazo yangu kwa sauti
Hoja yangu ni moja tuu kwa nini kila tukinunua umeme na maji tunakatwa percentage flani kwa ajili ya Taasisi zingine za Serikali? madhalan EWURA
EWURA inafanya kazi gani mbona huduma na kiwango(quality) ya maji katika mamlaka nyingi za maji ni mbovu?
Ni mamlaka chache sana za maji mtu anaweza chota maji kwenye bomba akanywa direct.
Swala lingine ni umeme kukatika katika na kuharibu vifaa vya Watu EWURA wanalindaje wananchi dhidi ya mtoa huduma TANESCO?
Mimi kwa maoni yangu naona huu utitiri wa taasisi zinazonyonya mwananchi ni vema zingetolewa au kuunganishwa maana hazina tija.
Ukiangalia kwa sasa wamegeukia mafuta tuu kila baada ya siku kadhaa kupanga bei.....hivi hatuwezi kuwa na stock hata ya miezi 6 bei ya mafuta ikabaki constant walau kwa muda flani? Madhalan miezi 6 hivi hii itawezesha wengi kuweza kupanga vema especially wale Wa sekta za usafirishaji na uzalishaji viwandani!
Nimeongea tuu mawazo yangu kwa sauti