Recent content by Bry N

  1. Bry N

    Hivi ni kweli huyo mchumba, mume au mke ulonaye sasa hivi mlikutana humu JF?

    Niliwahi pata mchumba humu miaka kama 7 hivi imepita tulidumu nae kwa relationship kama1 year nilikuwa serious nataka kumuoa ila alikuja kuniletea uswahili mwingi sana nakusalim popote pale ulipo nimekumic sana i wish to see you my lovely ex mana hata ID yake mpaka leo sijawahi kuiona tena ipo...
  2. Bry N

    Habarini wakuu hivi nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi hadi finishings?

    Anza kujenga na pesa ulinayo ukiamza kupiga mahesabu ya hivyo hakika utapotea kabisa mimi ni fundi mtaalam kabisa hayo mambo najua vizuri pesa ikiisha subiri tafuta nyingine ujenzi ni polepole unless uwe na pesa ya kutosha kabisa... gharama za ujenzi na materials tu unayotumia mfano hapo...
  3. Bry N

    Biashara zinazolipa mipakani Tanzania na Zambia

    Biashara ya magendo ndo inayolipa zaidi kwa upande wa boda tunduma mfano sukari, mafuta , vitenge, vinywaji vya zambia vyote vinauzwa ndani ya mkoa wa songwe pia inategemeana na kipindi mfan kipindi cha kilimo watu walipiga pesa kutoka kwenye mbolea ya ruzuku wanachukua songwe wanapeleka malawi...
  4. Bry N

    Kama umeme ni mwingi upungue bei tupikie majiko ya umeme

    Labda marehemu afufuke aje sahau hilo Tanzania ni nchi huru...
  5. Bry N

    Hali ni Tete

    mazoezi muhimu sana
  6. Bry N

    Niseme nini, siwezi kueleza. Stori yangu na betPawa

    Daaah aiseee hongera
  7. Bry N

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Aiseeh pole sana kama mimi mwanaume siwezi kuishi na mwanamke msaliti nadhani ndio utakuwa mwisho wetu anyway maamuzi jinsi ya kuhandle issue ya usaliti zinatofautiana kati ya mtu na mtu kuna wanaoweza kusamehe na maisha yakaendelea its up to your mwenyezi mungu akutie nguvu na hekima katika...
  8. Bry N

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    Binafsi siwezi kuoa single maza wanachangamoto nyingi sana hawa watu nina vivip eample za wengi tu naaomba wanisamehe kwa kweli Niliendaga kwa maza angu mkubwa fulan kipindindi sijaoa kwenda kumshrikisha habari za kuoa singlemaana tulikuwa tunaivana sana maza alinitukana na kunifukuza kwake...
  9. Bry N

    Rules of dating someone's wife

    Dunia tuliyofikia ni ya kufundishana uzinzi kweli Mungu umefika wakati wa kukifuta na kuondoa kizazi hiki
  10. Bry N

    Kama ikitokea nimeoa sitamsaliti mke wangu

    Inawezekana mr mimi nina 5 year's ndoani sijawahi na siwezi kumcheat my wife kamwe siri ni kumtehemea mungu kwa maisha yako.
  11. Bry N

    Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

    Siku zote watu huzani ndoa saikolojikali wanasahau kuwa ni taasisi kubwa ambayo lazima uijue Ato Z unapoingia katika ndoa lazima ukubali yote either kuw mjinga, kujishusha kwa mwenzio na uvumilivu hapo ndoa itaenda bila shak yeyote
  12. Bry N

    Baada ya sex, miguu yangu huishiwa nguvu

    Siku ukipigwa mti siku nzima au 2 mfululuzo si hutatembea mwezi mzima anyway achana na uzinzi anza kusali na uokoke upate mume mwema na utakuwa sawa
  13. Bry N

    Hatimaye naoa

    Kila lenye heri liwe kwako karibu chamani uwe mwenye hekima katika ndoa yako
  14. Bry N

    Natamani nichukue maamuzi magumu sana

    Waheshimu baba yako na mama yako siku zako zipate kuwa nyingi
Back
Top Bottom