Niliwahi pata mchumba humu miaka kama 7 hivi imepita tulidumu nae kwa relationship kama1 year nilikuwa serious nataka kumuoa ila alikuja kuniletea uswahili mwingi sana nakusalim popote pale ulipo nimekumic sana i wish to see you my lovely ex mana hata ID yake mpaka leo sijawahi kuiona tena ipo...
Anza kujenga na pesa ulinayo ukiamza kupiga mahesabu ya hivyo hakika utapotea kabisa mimi ni fundi mtaalam kabisa hayo mambo najua vizuri pesa ikiisha subiri tafuta nyingine ujenzi ni polepole unless uwe na pesa ya kutosha kabisa... gharama za ujenzi na materials tu unayotumia mfano hapo...
Biashara ya magendo ndo inayolipa zaidi kwa upande wa boda tunduma mfano sukari, mafuta , vitenge, vinywaji vya zambia vyote vinauzwa ndani ya mkoa wa songwe pia inategemeana na kipindi mfan kipindi cha kilimo watu walipiga pesa kutoka kwenye mbolea ya ruzuku wanachukua songwe wanapeleka malawi...
Aiseeh pole sana kama mimi mwanaume siwezi kuishi na mwanamke msaliti nadhani ndio utakuwa mwisho wetu anyway maamuzi jinsi ya kuhandle issue ya usaliti zinatofautiana kati ya mtu na mtu kuna wanaoweza kusamehe na maisha yakaendelea its up to your mwenyezi mungu akutie nguvu na hekima katika...
Binafsi siwezi kuoa single maza wanachangamoto nyingi sana hawa watu nina vivip eample za wengi tu naaomba wanisamehe kwa kweli
Niliendaga kwa maza angu mkubwa fulan kipindindi sijaoa kwenda kumshrikisha habari za kuoa singlemaana tulikuwa tunaivana sana maza alinitukana na kunifukuza kwake...
Siku zote watu huzani ndoa saikolojikali wanasahau kuwa ni taasisi kubwa ambayo lazima uijue Ato Z unapoingia katika ndoa lazima ukubali yote either kuw mjinga, kujishusha kwa mwenzio na uvumilivu hapo ndoa itaenda bila shak yeyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.