Recent content by britneyley

  1. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwenye maswali ya written TRA mwaka jana tunaomba atume wakuuu
  2. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vipi kwa Assistant wa TRA
  3. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana na asante kwa kuanzisha uzi huu hakika umeleta impact kubwa sana vijana wenzako Mungu akubariki
  4. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama wanajimwambafai apa unahisi kwenye panel watafanya nini zaidi ya kujimwambafai 😂😂😂
  5. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mnabishana lakn tunakuja kulamba asali na wanasheria 😂😂😂
  6. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inshallah your time is coming
  7. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndio nashukuru Mungu niliitwa feb mkeka wa TRA
  8. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mungu ajaalie na wewe uitwee ila usije kutukimbia ukishapata placement
  9. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Itoshe kusema February umekuwa mwezi wa Neema na matumaini kwa vijana wengi Mungu ajaalie na wengine wanao subiri placement waitwe
  10. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    😂😂😂😂 Sawa umekuwa addicted sana na huu uzi
  11. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hahaha umefuta app umeamia kwenye ushuhuda
  12. B

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna vitu vingi sana vya kujifunza kwenye huu uzi sio mwenyeji sana ila kuna hawa watu Mwifwa na @yunklee jinsi wanavyokuwa na furaha wengine wakipata asali hakika tujifunze kufurahi wenzetu wakipata ata km wewe bado ujiongezea baraka kwa Mungu
Back
Top Bottom