Duh ni juzi tu hali hii ilinitokea nilipiga kelele sana lakini wapi nikanyanyua mkono lakini wapi nikabaki kusema kimoyo moyo kwa jina la yesu....kwa jina la yesu hali hii ikitokea unapaswa ufanye nini ilikuiondoa na je inaweza kuduma takribani kwa dakika ngapi au masaa mapangi.Ahsnte
Nimeongea nao leo kwa njia ya simu majibu yao wanasema kila kitu kipo kwenye system siku 90 zinaweza hata kupita kwamba wapo watu walioomba tangu July hajalipwa hivyo niwe mvumilivu.
Naomba kuuliza hivi system inasetiwa automatically zikifika siku hiyo ili itoe pesa Kwa alijaza fomu online au...
Kiongozi hata mimi niliomba refund fund yangu mpaka leo sijalipwa kwenye ahadi wako vzr ila kwenye utekelezaji changamoto nafikilia kwenda ofsn kwao nikaulize tatizo nini wakati nadai haki yangu.
Mkuu mbona kawaida kichwa Cha chini Cha mwanaume Kuna wakati kinakua na nguvu kuliko kichwa Cha juu ambacho kilimeza 4figure yote cos&sin[emoji23][emoji23]
Inawezekana hata sheria ya bodi ya mikopo makato kua aslimia 15% ilipitishwa akiwa hajui Sasa kwa kua amejua Rai yetu Sasa ibadilishwe irudi ile ya zamani ya asilimia 8%
Inawezekana hata sheria ya bodi ya mikopo makato kua aslimia 15% ilipitishwa akiwa hajui Sasa kwa kua amejua Rai yetu Sasa ibadilishwe irudi ile ya zamani ya asilimia 8%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.