Recent content by brainee

  1. B

    Unafiki wa Mbowe na vibaraka wake kwa watanzania

    Simple minds discuss people. Oohh kajenga nyumba South Africa,Dubai..kama sifa ya kuwa kiongoz ni umaskini,kamchukue matonya yuko somewhere.Una uhakika gani ni kwa fedha za CDM..unajua zilijengwa lini??kipindi hicho CDM ilikua ina pesa yoyote?? Kazaa watoto wake nje ya nchi kwa pesa za...
  2. B

    GE2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

    Mtatiro, Honera sana kwa uzalendo uliouonyesha.Natumai kuna njia nyingine inaweza fanyika kukupatia nafasi eneo jingine manake kiukweli uwepo wako unahitajika sana bungeni.Safu ya wapiganaji itakua imekamilika uwepo wako. God bless you brother
  3. B

    Uongo, Upotoshaji dhidi ya Dr.Slaa na Mnyika - Wafuatao wapuuzwe...

    Dr Slaa ashasema uongo wowote ama upotoshwaji ataukanusha hapo hapo..meaning kila kinachosemwa kuhusu yeye kujitoa CDM ni kweli sabab hajakikanusha hapo hapo.Lakin amekanusha hapo hapo taarifa za Yeriko.So sidhani kama kuna maelezo mengine yanayohitajika hapo
  4. B

    TTCL Vacancies: Others

    Hiv zile nafasi walotangaza hiv karibuni..washaita watu kwenye interview kweli!!
  5. B

    ACT - Tanzania yavunja ngome ya CHADEMA Mwanza, yazoa wanachama wote wenye uelewa

    nilikua namsikiliza yule mwenyekiti wao..anatia huzuni kweli yule mama,hajielewi elewi hata kidogo.Yule mwingine sjui Gwanchele anasema eti CHADEMA kwa kipindi chote hicho iliwafundisha kuitukana serikali tu..sasa mi naaanza kujiuliza kwa hio kazi ACT kupambana na CDM au CCM..these paople have...
  6. B

    Msaada:naomba kujua makadirio ya kodi ktk kuagiza gari

    Heshima kwenu wakubwa, Katika harakati za kutafuta gari ktk mitandao mbalimbali nimekutana na gari aina ya harrier kwenye mtandao wa beforward.jp(details zake ntaziweka hapa chini).Nilikua naomba kufahamishwa kwa uzoefu wenu hili gari litanigharim shilingi ngapi hadi kuliweka...
  7. B

    Msaada:soggy doggy anter ft hbc-mtikisiko

    ​Nawasalim woote!! Nadhani wadau wa Hip Hop toka kitambo watakua wanalikumbuka hili songi...skumbuki vizuri ilikua released mwaka gani lakini wakati inaanza kupenya maskion mwangu nadhani ilikua 2001 kama sio basi ilikua 2000 Najua kuna wadau wengi hum ndani wenye mapenzi na hiphop na...
  8. B

    Deus Mallya: Maswali na majibu ya Kifo cha Wangwe, Siasa n.k

    Aisee we jamaa mwogope Mungu..Mi mwenyewe nakukumbuka sana..hiyo biological Engineering was just a cover..we si ulikua unasomea surveillance,infiltration, weaponry ,hand to hand combat,extraction mwisho wa siku uka specialize kwenye propaganda...naona unaziapply sasa! unanikumbuka viz uri mi...
  9. B

    Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

    CCM kila siku wanasema wabunge wa CHADEMA wakapime akili..ila nafikiri wangeanza na huyu tahira! Kawakosea heshima wapiga kura wake ambao najua kuna kiasi kikubwa tu cha wafuasi wa CHADEMA..hizi siasa za kizamani sana,ajipaaange...hiki ni kizazi cha kusikilliza hoja sio pumba!!his dayz in...
  10. B

    Kozi za Uhandisi zinazolipa Tanzania

    Ndo unataka kuomba hizo kozi au uko mtaani(ushamaliza) manake sjui ka una paelewa mtaan vizurii.Ka ndo unataka kuapply subiri umalize ndo uzungumze!!
  11. B

    Naomba kujua procedure za kufuata kuanzisha na kusajili kituo cha televisheni

    Wadau naomba kwa mtu yeyote mwenye uzoefu na haya mambo anisaidie yafuatayo 1.Utaratibu wa kufuata|+ requirements ili kupata leseni ya kurusha matangazo ktk TV 2.Jinsi ya kufanya ili tv station yako ianze kurushwa kwenye ving'amuzi ka startimes n.k
  12. B

    Zitto: Sijahongwa, ni siasa za urais na hasira za posho!

    SMH!! Hivi vyote ni visasi tu,we unafikiri oparesheni uwajibikaji ilifurahiwa na wote..Zitto can be many thing but "kuhongwa" this is totally ridiculous!! Eyes on hands off..hiki ndicho Zitto anacho kipigania lakini itajafahamika tu!!Af mi nashangaa sana kwanini Zitto akisema ana uwezo wa kuwa...
  13. B

    Bungeni Live: Juni 3, 2012 [Morning Session]

    Hajielewi yule jamaa..alikua anatafuta kupigiwa makofi alipopigiwa akachiz kabsaa
  14. B

    The dark side of st joseph college of engineering & technology

    1.Asilimia zaidi ya tisini ya Lecturers ni Wahindi toka Tamil Nadu na hakuna Professor wala PhD holder hata mmoja chuo kizima 2.Dress Code:Round colar Tshirts for men haziruhusiwi,sleeveless shirts for girls not permitted 3.Ni Chuo cha elimu ya juu pekee kinachotumia kengele kumeneji muda ...
Back
Top Bottom