Recent content by brAin cRacker

  1. brAin cRacker

    Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Ulikuwa unataka kusema Nini mkuu??
  2. brAin cRacker

    Marvel Cinematic Universe special thread

    Tuwe wa kweli lantern ingekuwa movie afu Supergirl ingesubiri kidogo ni mapema Sana kwa DC kuanza kutengeneza series huku marvel Wana regret uo uamuzi.
  3. brAin cRacker

    Marvel Cinematic Universe special thread

    Hii nilikuwa na wasiwasi nayo toka mda lantern kuwa show walizingua haitapata Ile budget stahiki
  4. brAin cRacker

    Dark days 17/03/20

    Sema godfather akiwai kiwanja lazima kacivil war katoke either internal au nje. Yeye Pekee ndo anafanya Kila mtu abaki Kwenye reli
  5. brAin cRacker

    Forex ni kamari ya kimtandao: "Emmanuel Mpawe Tutuba (Governer Bank of Tanzania)"

    hapa gavana yupo sahihi Sana Mana wajanja wengi wanaweza tumia ujumbe wake kulegalize scams zao na watu wetu hawako na knowledge watu wengi wange umia . Na mpaka Sasa cmsa haija mpa broker yoyote license ko ingekua shida
  6. brAin cRacker

    Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    Hii inahitajika Sana Tena serikali isiwaze faida kabisa ukitaka kufanya hii project .
  7. brAin cRacker

    Dark days 17/03/20

    Hii ni real au AI
  8. brAin cRacker

    Traders wa gold mnaendeleaje huko mliko?

    Nazani big boys wanachomoa hela wakaweke Kwenye stock market Sasa hofu imepungua
  9. brAin cRacker

    Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Huu Uzi comment ni za ajabu ajabu hazieleweki
Back
Top Bottom