Recent content by brAin cRacker

  1. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kuna mda nawaza kuwa Labda godfather Yuko bize zake au labda muda wao nao wa kuonja joto la jiwe ndo huu wakati akisubiliwa Bro wake tumia akili
  2. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania LG Oled vs Samsung Neo Qled. Ipi nzuri zaidi?

    Kama TV itaangaliana na dilisha au chumba kina ruhusu mwanga mwngi chukua qled Samsung
  3. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    1 year ago tulipata haya matumaini
  4. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Nitajie ma superstars wawili wanaopewa sifa ila kazi zao huzielewi kabisa

    Taylor swift anatuzo nyingi kuliko maiko jakison eti 🤣🤣🤣
  5. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wa Tanzania ni rahisi sana kuamini utapeli wa forex trading?

    Mkuu watu Wana trade mpaka stock (Dow Jones, netflix,nasdaq ,google ) kusema ni utapeli ni kujizrumu mwenyewe hamna mtu anakuforce ni wewe mwenyewe huku unajua huna skill
  6. brAin cRacker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Sema mungu anifanyinyie wepesi bado naamini kuwa mapenzi ya kweli yapo japo sahizi napitia wakati mgumu.
  7. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Leo report inatoka Ila brother nowhere to be found Dah!
  8. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 The Voices From Within: "Watanzania poleni sana na samahani sana kwa yote, nawajibika". Tusameheane, turidhiane, twendeni pamoja kwenye Katiba Mpya!

    Nazani leo Safari inaanza upya Ila sijui kuelekea wapi ? , ukijumlisha zile tarehe
  9. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Ile Drama imeisha. Kuachiliwa hivi karibuni

    Kunani hapo Tokyo tena
  10. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Mungu tunaomba usiruhusu Madhara yoyote kwa Dr Nchimbi

    Jamaa akiongea hua naona Kuna matumaini na hii country
  11. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Ni juzi tu hapa TPDC walitangaza nchi Ina akiba ya kutosha ya mafuta inakuaje bei ipande marudufu ndani ya week wakati nchi ilikua na akiba ya kutosha

    Sema Nazani wanataka kucontrol matumizi , futa linunuliwe na wenye uhitaji kweli kweli tu ili isiburn reserve Sana Mana Vita yenyewe haieleweki lini itakataa hii .
  12. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Tuzingatie kitu gani tunapokwenda kununua simu ili tupate simu bora?

    Ukiona umegoogle Simu ya miaka 2 afu bongo wanakwambia full box kimbia mbio usiangalie nyuma
  13. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Ulikuwa unataka kusema Nini mkuu??
Back
Top Bottom