Nilidhani ni Mimi pekee yangu , Nilinunua Cha 5k wakanipa gb 6 hata kimekata ndani ya week nikachukua Cha 10k 13gb ndani ya 13 days zimebaki 4gb mbaya zaidi hi simu ni h+ social media kwa mbali Sana huko nyuma Hali haikuwa hivi kabisa *matumizi ni hotspot kwa pc (Ubuntu 40min/day)
Sema kama kuna kikundi kwenye kampuni kinasukuma kete ni magenius refer Tumia Akili na desert mission , hii hate kutoka kwa wananchi sio mchezo Au nature inawatapika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.