Recent content by brAin cRacker

  1. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Router za Airtel Unlimited Internet inakikomo. 500GB baada ya hapo wanalimit speed vibaya sana!

    Hizo 500gb ni sawa na movie 8-10 ambazo no 4k remux , happen mtu ajadownload games , YouTube etc etc
  2. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Timu GOAT mwitu wanahaha walianza na Portugal, France, watahamia England watanyooshwa. Fainali ni ya Barça fans

    Hili kombe la dunia liasha geuka WWE
  3. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nilidhani ni Mimi pekee yangu , Nilinunua Cha 5k wakanipa gb 6 hata kimekata ndani ya week nikachukua Cha 10k 13gb ndani ya 13 days zimebaki 4gb mbaya zaidi hi simu ni h+ social media kwa mbali Sana huko nyuma Hali haikuwa hivi kabisa *matumizi ni hotspot kwa pc (Ubuntu 40min/day)
  4. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Sema kama kuna kikundi kwenye kampuni kinasukuma kete ni magenius refer Tumia Akili na desert mission , hii hate kutoka kwa wananchi sio mchezo Au nature inawatapika
  5. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa maandamano 7/7

    Kwa bed
  6. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Tayari mkuu imewadia leta mambo
  7. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya forex ilivyonifilisi na kuniacha na madeni

    Komaa na hwinga mkuu nyumbani usirudi
  8. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ovyo wote mjitafakari na mchukue tahadhari kabla ya hatari

    Umeitoa wapi hii mkuu ?
  9. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Wananyukana sana

    Kavideo tafadhari
  10. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Japo Uchawi Upo, Wachawi Wapo na Wanaloga!, Anayeruhusu Kulogeka ni Wewe Mwenyewe!, Unaweza Kuzuia Kulogeka Kwa Imani! na Ukawa Hulogeki!.

    Imani ni hali ya kuwa na hakika, tumaini thabiti, na kuamini katika jambo au mtu, hata pasipo na uthibitisho unaoonekana kwa macho
  11. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Rasmi: Watanganyika waanza kunyimwa huduma za Afya Zanzibar

    Hi ishu mbona inazidi kuwa serious Nani anapush hizi ajenda kwa hi speed ??
  12. brAin cRacker

    JamiiForums Tanzania Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Bado kete zinasukumwa but naona this time wamebananishwa ukutani hata kufurukuta hawawezi
Back
Top Bottom