Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,095
- 41,710
Mie naeleta taarifa???Leo ndio itajulikana kama wewe ni mmojawapo wa wapiga ramli chonganishi au la!
😆😆😆
Au na hii hukuona?
Ngoja nitafute ile video niweke hapa...
Mie naeleta taarifa???Leo ndio itajulikana kama wewe ni mmojawapo wa wapiga ramli chonganishi au la!
Hahahaha, hahahaha 🤣Leo ndio itajulikana kama wewe ni mmojawapo wa wapiga ramli chonganishi au la!
Huna lolote1. "GSM* au "74KA"
Tayari mkuu imewadia leta mambo03072026....
Mark n save the date...
29/10, kumbukizi8/8
29/10
Funga kazi 19/6/27
Katumwa na nani?mbiNchi ametumwa kupima kina cha maji, mamba msitoe mdomo hakikisheni mntafuna mzima mzima yule atakae ingia na miguu miwili hasa huyo chura wa zenji
Desert mission ni mwendelezo wa maandamano na chaos ndani ya kampuni!!Sema kama kuna kikundi kwenye kampuni kinasukuma kete ni magenius refer Tumia Akili na desert mission , hii hate kutoka kwa wananchi sio mchezo Au nature inawatapika
NetworkKatumwa na nani?
Mkuu ujaonekana kitambo humu karibu SanaDesert mission ni mwendelezo wa maandamano na chaos ndani ya kampuni!!
Nahisi kama US na co wametulizwa coz sisikii nywii nywi Wala nyoo nyooo!!
Kuna Uzi/comment ya Malcolm aligusia kwenye stage ya kufall baadhi yao watabidi waside n wananchi ili kujipa uhalali.Network