TAML5. Naona atatoka, lakini hatabadilika; badala yake atarudi akiwa na msimamo mkali zaidi kuliko ule wa kwanza.
Who?
Bongo movie?TAML
Siasa TALBongo movie?
Bongo flavor?
Kuhusu kutoka?huu naufatili hadi tarehe 30 mwez wa nne
Isome hii sentence halafu soma uzi wako mzima then nieleweshe ni utulivu gani hasa ulio umaanisha hapa?Mwezi wa 8 naona ukiwa mwezi wa utulivu

Mkubwa fella is serious Sick1. Naona tasnia ya Bongo Fleva ikipata pigo kubwa.
2. Naona katika Bongo Movie yakitokea matukio mawili ya huzuni yanayowahusu wasanii wawili wanaopendwa na watu wengi.
Hapa utupe code
Kule wengne inajulikana
Rais Lissu5. Naona atatoka, lakini hatabadilika; badala yake atarudi akiwa na msimamo mkali zaidi kuliko ule wa kwanza.
Who?
Huu sii wa kukosahuu naufatili hadi tarehe 30 mwez wa nne
WelcomeSubscribed
Kwenye tasnia ya burudani hata mie nimeona kuna kitu kitatokea,
Mungu awalinde.