Pesa na umri nivitu visibyoendana kabsa hasa kwazama hizi ambazo vjana ndowapo vzur kuliko wazee
Pia unaonekana mshamba mshamba sana hata kwahivi vgar vya milion mia kadhaa tu ndoubabaike kias hicho
Watu kama nyie ndomnafanya dunia isiishe maumivu yamapenz
Mm mwenyewe nimetendwa kwenye njia kama hio baada yamchumba wangu kuombwa msamaha na X wake nae akakubali wawe kama zamani ilhali alinieleza kila kitu kuhusu X wake na akajiapza kutorudi kwake lakini hivi sasa wapo pa1 namm hanijali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.