fatou46
Member
- Sep 1, 2012
- 72
- 51
Mhhhh! wanawake hatupendani. ..jamany wakati mwingine hasira tu.,ila sio kwa kumchamba huko.Hakuna aliyeolewa hapo wote Malaya hivyo hana sababu ya kumwita mwenzie Malaya wakati kajipeleka kwa bwana bila ndoa yaani yeye ndio Malaya asiyekuwa na thamani
Sent using Jamii Forums mobile app