Recent content by boyskillz

  1. boyskillz

    Nimetuma email FIFA for match fixing ya Singida VS Simba

    Sasa mbona hio email sio ya FIFA ni ya FA ya England 👀
  2. boyskillz

    Zimbabwe: Mtoto aliyeamua kumuoa mama yake amuacha

    Pastor Anaitwa nani???
  3. boyskillz

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa mkuu wa mkoa wa Dar amezuia biashara ya Kuuza DVD zenye picha mnato (movies) zá nje ya nchi, mfano zile za kikorea, kihindi, kifilipino nk. Nilichunguza lengo la yeye kufanya vile nikatambua kuwa anafikiri hio Ndiyo njia itakayosaidia waigizaji wa muvi...
  4. boyskillz

    Msaada wa kumroga aliye Senegal, amenitapeli TZS 5 Millioni

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole lakini, mbn hii ishu ya kitambo, we ulikuaga wapi
  5. boyskillz

    Maadui wa Paul Makonda watofautiana

    Umemaliza? haya leteni vyeti sasa
  6. boyskillz

    Sammy Awamy (Mwandishi wa BBC) jirekebishe, kila 'umbea' unaupeleka BBC-Afrika

    Kavamieni na BBC basi, maana mmeshazoea uvamizi
  7. boyskillz

    Naombeni ushauri chuo kizuri kwa diploma ya electric engineering

    Hakuna hiyo faculty Tanzania, iliyopo inaitwa Electrical Engineering.... Au ordinary diploma in electrical engineering.. Njoo DIT usikilizie joto lake, NB: uwe na kichwa kizuri vinginevyo utakimbia
  8. boyskillz

    Hili gazeti la Kenya limemdhalilisha Rais Magufuli

    Nmeipenda hii katuni
  9. boyskillz

    Basata mnasubiri nini kumchukulia hatua Ney wa mitego

    Mabashite kumbe mengi hivi
  10. boyskillz

    Kujuzwa zaidi kuhusu kozi ya Bio-Medical Equipment Engineering

    Ah hio kozi nzuri ila ajira zake mshahara magumashi, na siku hizi kazi zake nazo magumshi tu, mi niliisoma lakini kwa usumbufu huo imebidi nirudi tena shule kusoma kitu tofauti kabisa. Tena DIT ndo magumashi matupu bora ATC
  11. boyskillz

    Rais Magufuli siasa si uadui, Una kifua kweli?

    Hayati Mwl. Nyerere (Allah amrehemu) alipambana maisha yake yote kupinga dhambi ya ubaguzi. Alifanikiwa kuvivunja viini vya ubaguzi japo sio vyote. Leo hii anatokea mtu anapandikiza tena mambo haya. Eti marufuku kumjulia hali mpinzani, alafu anatumia mwavuli wa usaliti kuwasilisha hili...
  12. boyskillz

    Mikopo: Hasara ni kuiamini serikali hii itatuvusha, hasara ni kupata viongozi hawa wa sasa

    Awamu hii watanzania wamepata Hasara kubwa sana... Kuwa na viongozi wasio na mikakati ya kujenga taifa ila kujenga visifa vya ovyo ni Hasara mbaya sana kwa Taifa.. Bodi ya mikopo imeshikiliwa na makada wa Chama wasio na uelewa wowote katika kujenga Taifa la Wasomi.. Ila kujenga sifa zao...
Back
Top Bottom