sospeter ndaki
Member
- Nov 15, 2014
- 40
- 7
njoo in box 0758183549
ushauri tu mpk unatoa namba ya simu au unauza ushauri wwnjoo in box 0758183549
Ordinary diploma in electrical engineering sio faculty ni course.... ebu kapitie matumizi ya hayo maneno.Hakuna hiyo faculty Tanzania, iliyopo inaitwa Electrical Engineering.... Au ordinary diploma in electrical engineering..
Njoo DIT usikilizie joto lake,
NB: uwe na kichwa kizuri vinginevyo utakimbia
Nakushauri uende advance kijanaJamani naombeni ushauri mimi nimemaliza form four 2016 nimepata division two nataka kwenda chuo kuchukua diploma ya electric engineering.
Je ni chuo gani ni kizuri kwa electric engineering na pia je ni engineering ipi itakuwa na soko pana la ajira baada ya miaka mitatu.
Mkuu samahani ulimaliza lini pale ATCusidanganye watu, mm nilihama civil nikahamia electrical pale ATC na soon baada ya kumaliza chuo member wote wa electrical tulipata kazi easly na rafiki zangu waliokuwa civil waliishia kukaa kitaa for a while
Mkuu nikutafute mm nn mana nimemaliza juzi tu hapaNenda must mbeya Chuo bora kabisa kwa electrical ukimaliza nitafute
2013 mkuuMkuu samahani ulimaliza lini pale ATC
Kwanza nikusahihishe! Sio electric engineering, ni ELECTRICAL... Pia sidhani kama unaweza ukaingia diploma moja kwa moja. Utaweza kusomea fundi mchundo. Yani full technician certificate ambayo utaisoma kwa miaka mitatu (nadhani)...Je ni chuo gani ni kizuri kwa electric engineering na pia je ni engineering ipi itakuwa na soko pana la ajira baada ya miaka mitatu.
siku hizi hamna FTC mkuu, sahv ndio inaitwa Ordinary Diploma... FTC iliisha 2007, 2008 wakawa wameanza kutoa diplomaKwanza nikusahihishe! Sio electric engineering, ni ELECTRICAL... Pia sidhani kama unaweza ukaingia diploma moja kwa moja. Utaweza kusomea fundi mchundo. Yani full technician certificate ambayo utaisoma kwa miaka mitatu (nadhani)...
Vyuo vizuri vya enzi zetu vilikuwa Mbeya Tech ambacho siku hizi ni chuo kikuu, Arusha Tech na Dar Tech (DIT)... Ukifanikiwa kusoma kwenye hivyo vyuo vitatu, huwezi kukosa kazi hapa nchini... Kila la kheri....
Mkuu hebu ielezee kwa undani. Huu mkwamo ni upi hasa? Nilifikiri ukitoka F4 unaingia certificate/ diploma na bado unaweza kwenda kuchukua degree ukiwa na ujuzi wa kutosha.Nakushauri uende advance kijana
Pengine huko mbeleni ukawa ushapata jibu sahihi la wapi pa kwenda
Wengi wanaomaliza form four na kukimbilia chuo hukwama huko mbeleni.
Nakushauri uende advance kijana
Pengine huko mbeleni ukawa ushapata jibu sahihi la wapi pa kwenda
Wengi wanaomaliza form four na kukimbilia chuo hukwama huko mbeleni.
I think DIT wako vizuri zaidi...telecom. engeenering iko poa
I think DIT wako vizuri zaidi...telecom. engeenering iko poa