Akizungumza leo Msemaji wa M-Bet Tanzania amesema wamefikia hatua hiyo ya kudhamini ligi hiyo ya Ruvuma Vijana Cup Ikiwa ni muendelezo wao wa kusapoti kuibuliwa kwa vipaji vya vijana wa Kitanzania na wataendelea kufanya hivi kwenye tournaments mbalimbali zinazoendelea nchini. Lakini pia ni...
Mwenyekiti huyo wa UVCCM Raymund Mhenga ameyasema hayo kwenye mahafali ya 10 ya Wahitimu wa Chuo Cha Ufundi Top One College.Mhenga amesema anapeleka majina ya watumishi wa Serikali ambao wanakwamisha wawekezaji na mabingwa wa Kuomba Rushwa kwa wananchi kwa Rais Magufuli kupitia kwa Mkuu wa...
Maana kipindi kama hiki ni kigumu sana mie nilipiga mke wangu nusu kuua,na nilikuwa sijawahi kumpiga toka nimeoa,na sikuwahi msaliti kwa miaka yote mitatu ya ndoa.Nilikaa nae mbali kwa miezi 6 ,Miezi hii 6 ilitosha kunifanya nibadili mawazo na kumsamehe hasa pale alipoonesha kubadilika nami kwa...
Bro kwa sasa unahitaji utulivu wa hali ya juu sana.Tengana na mwenza wako kwa muda upate kutuliza machungu ya moyo wako na kuweza kupata muda wa kutafakari kwa kina,nimepitia changamoto kama yako lakini sasa naendelea vizuri na mke wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.