Naomba namba yake nimuulze kwnn anakfuatilia hvoHabari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua nimsaidie maana matatizo yenyewe yalikuwa madogo kwa upande wangu.
Baada Ya kuwa nimemtatulia shida zake ikabidi tukae sehemu kwa ajili ya kufahamiana vizuri. Mwisho Tukapeana namba za simu tukaagana.
Toka siku ile huyu binti amekuwa ni msumbufu wa kiwango cha dunia. Ananipigia simu mpaka saa Saba Usiku ananiuliza nimelala na nani wakati hakuna uhusiano wowote Kati yetu ambao kwa namna moja au Nyingine ungepelekea kuulizana maswali kama hayo. Meseji za miss you toka kwa huyu binti zimekuwa kero, kwa siku anaweza tuma hata kumi.
Huyu binti nilimsaidia kama ambavyo ningesaidia mtu Mwingine ila yeye msaada wangu aliupokea tofauti kabisa na naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.
Kiukweli nimejitahidi saana kumpotezea ila kila ninvyompotezea ndivyo anavyoongeza juhudi. Akiendelea itabidi nichague moja Kati ya haya mawili; NIMTAFUNE au NITOE NAMBA YAKE LOVE CONNECT NISAIDIWE.
Anza kuwasaidia na ww watakutunuku tuHizo bahati huwa hazinipati.
Umeshatoka JKT? watoto wenzako hawamo humu!Habari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua nimsaidie maana matatizo yenyewe yalikuwa madogo kwa upande wangu.
Baada Ya kuwa nimemtatulia shida zake ikabidi tukae sehemu kwa ajili ya kufahamiana vizuri. Mwisho Tukapeana namba za simu tukaagana.
Toka siku ile huyu binti amekuwa ni msumbufu wa kiwango cha dunia. Ananipigia simu mpaka saa Saba Usiku ananiuliza nimelala na nani wakati hakuna uhusiano wowote Kati yetu ambao kwa namna moja au Nyingine ungepelekea kuulizana maswali kama hayo. Meseji za miss you toka kwa huyu binti zimekuwa kero, kwa siku anaweza tuma hata kumi.
Huyu binti nilimsaidia kama ambavyo ningesaidia mtu Mwingine ila yeye msaada wangu aliupokea tofauti kabisa na naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.
Kiukweli nimejitahidi saana kumpotezea ila kila ninvyompotezea ndivyo anavyoongeza juhudi. Akiendelea itabidi nichague moja Kati ya haya mawili; NIMTAFUNE au NITOE NAMBA YAKE LOVE CONNECT NISAIDIWE.
Ulishindwa kumsaidia bila kubadilishana no?matatizo mengne twajitakia wenyeweHabari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua nimsaidie maana matatizo yenyewe yalikuwa madogo kwa upande wangu.
Baada Ya kuwa nimemtatulia shida zake ikabidi tukae sehemu kwa ajili ya kufahamiana vizuri. Mwisho Tukapeana namba za simu tukaagana.
Toka siku ile huyu binti amekuwa ni msumbufu wa kiwango cha dunia. Ananipigia simu mpaka saa Saba Usiku ananiuliza nimelala na nani wakati hakuna uhusiano wowote Kati yetu ambao kwa namna moja au Nyingine ungepelekea kuulizana maswali kama hayo. Meseji za miss you toka kwa huyu binti zimekuwa kero, kwa siku anaweza tuma hata kumi.
Huyu binti nilimsaidia kama ambavyo ningesaidia mtu Mwingine ila yeye msaada wangu aliupokea tofauti kabisa na naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.
Kiukweli nimejitahidi saana kumpotezea ila kila ninvyompotezea ndivyo anavyoongeza juhudi. Akiendelea itabidi nichague moja Kati ya haya mawili; NIMTAFUNE au NITOE NAMBA YAKE LOVE CONNECT NISAIDIWE.
Bado aseeWewe ushamtafuna siku nyingi unatuinjoyi tu hapa mkuu.
Binti hajaridhika na msaada pekee, anataka kunitunuku.Sasa kama alikuwa na lengo la kumsaidia bac ashie tu hapo ili iitwe sadaka(msaada)
Sasa tena akikubali nayeye![]()
Sijapiga aseeHehe ampe buana aache uzembe.
Ila mimi navojuaga jamaa keshapiga ila hapa anatuinjoyi tu.
Kutoa namba ni plan B mkuu. Ngoja kwanza nijaribu plan AToa number mkuu maana naona penye miti mingi hamna wajenzi

Option ya kublock ipoKama simu yako haina option ya kublock namba basi download application!
Mkuu una akili saana, hii ni moja ya sababu kuu iliyokuwa inanifanya ni'delay kuvunja amri za Mungu.Kuwa smart kijana,
umemsaidia kajua una uwezo wa kumsaidia hiyo shida yake hivyo anataka akunase vizuri kwa kukulambisha sukari kisha utamtatulia tu matatizo yake utake usitake!
Gonga kisha utakupa list ya shida zake umtatulie, na hizo shida zinatatulika kwa pesa!