Sijui Nimtafune?

Sijui Nimtafune?

Kama umeweza kumsaidia hilo tatizo lake likaisha kabisa, nadhani sasa ni muda muafaka wa kumtatulia tatizo la kugegedwa, maana pia ana tatizo la kutogegedwa muda mrefu na anaamini kuwa kugegeda pia kupo ndani ya uwezo wako, mgegede tu hakuna shida...
 
Habari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua nimsaidie maana matatizo yenyewe yalikuwa madogo kwa upande wangu.

Baada Ya kuwa nimemtatulia shida zake ikabidi tukae sehemu kwa ajili ya kufahamiana vizuri. Mwisho Tukapeana namba za simu tukaagana.

Toka siku ile huyu binti amekuwa ni msumbufu wa kiwango cha dunia. Ananipigia simu mpaka saa Saba Usiku ananiuliza nimelala na nani wakati hakuna uhusiano wowote Kati yetu ambao kwa namna moja au Nyingine ungepelekea kuulizana maswali kama hayo. Meseji za miss you toka kwa huyu binti zimekuwa kero, kwa siku anaweza tuma hata kumi.

Huyu binti nilimsaidia kama ambavyo ningesaidia mtu Mwingine ila yeye msaada wangu aliupokea tofauti kabisa na naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.

Kiukweli nimejitahidi saana kumpotezea ila kila ninvyompotezea ndivyo anavyoongeza juhudi. Akiendelea itabidi nichague moja Kati ya haya mawili; NIMTAFUNE au NITOE NAMBA YAKE LOVE CONNECT NISAIDIWE.
Naomba namba yake nimuulze kwnn anakfuatilia hvo
 
Habari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua nimsaidie maana matatizo yenyewe yalikuwa madogo kwa upande wangu.

Baada Ya kuwa nimemtatulia shida zake ikabidi tukae sehemu kwa ajili ya kufahamiana vizuri. Mwisho Tukapeana namba za simu tukaagana.

Toka siku ile huyu binti amekuwa ni msumbufu wa kiwango cha dunia. Ananipigia simu mpaka saa Saba Usiku ananiuliza nimelala na nani wakati hakuna uhusiano wowote Kati yetu ambao kwa namna moja au Nyingine ungepelekea kuulizana maswali kama hayo. Meseji za miss you toka kwa huyu binti zimekuwa kero, kwa siku anaweza tuma hata kumi.

Huyu binti nilimsaidia kama ambavyo ningesaidia mtu Mwingine ila yeye msaada wangu aliupokea tofauti kabisa na naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.

Kiukweli nimejitahidi saana kumpotezea ila kila ninvyompotezea ndivyo anavyoongeza juhudi. Akiendelea itabidi nichague moja Kati ya haya mawili; NIMTAFUNE au NITOE NAMBA YAKE LOVE CONNECT NISAIDIWE.
Umeshatoka JKT? watoto wenzako hawamo humu!
 
Inawezekana Raisi wa Malofa, una Sifa ama Muonekano wa KISAGAJI...

Avatar yako...Jina unalotumia...sio kila mtu anae kusimulia matatizo yake, ukayachukulia kama yalivyo...!!

BTW..mtoto amekuelewa, usiwe mkali wala usiturushie Mpira Vidume tubebe matatizo uliyo jikaribishia mwenyewe....!!

Kama una tabia hiyo, acha mara moja.
 
Habari wana jamvi. Juzi katika mizunguko yangu mjini nilikutana na binti mmoja hivi mwanachuo. Kwa kumtazama kwa haraka haraka nikagundua hakuwa sawa. Kibinadamu nikamsogelea nikaanza kumsaili japo nwanzoni alitia ngumu kidogo. Badaye alinieleza kila kitu (kuhusu kutokuwa kwake sawa) nikaamua nimsaidie maana matatizo yenyewe yalikuwa madogo kwa upande wangu.

Baada Ya kuwa nimemtatulia shida zake ikabidi tukae sehemu kwa ajili ya kufahamiana vizuri. Mwisho Tukapeana namba za simu tukaagana.

Toka siku ile huyu binti amekuwa ni msumbufu wa kiwango cha dunia. Ananipigia simu mpaka saa Saba Usiku ananiuliza nimelala na nani wakati hakuna uhusiano wowote Kati yetu ambao kwa namna moja au Nyingine ungepelekea kuulizana maswali kama hayo. Meseji za miss you toka kwa huyu binti zimekuwa kero, kwa siku anaweza tuma hata kumi.

Huyu binti nilimsaidia kama ambavyo ningesaidia mtu Mwingine ila yeye msaada wangu aliupokea tofauti kabisa na naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.

Kiukweli nimejitahidi saana kumpotezea ila kila ninvyompotezea ndivyo anavyoongeza juhudi. Akiendelea itabidi nichague moja Kati ya haya mawili; NIMTAFUNE au NITOE NAMBA YAKE LOVE CONNECT NISAIDIWE.
Ulishindwa kumsaidia bila kubadilishana no?matatizo mengne twajitakia wenyewe
 
hahhaahahahahahah yaani uchume kivyako utuletee we jamaa vipi hebu malizana na mtu wako kimya kimya
 
"...ni hatari kutafsiri hisia za mwanamke akiwa mpweke au akiwa na matatizo ya maisha...."

Utamaduni wa mtu Mweusi
 
Kuwa smart kijana,
umemsaidia kajua una uwezo wa kumsaidia hiyo shida yake hivyo anataka akunase vizuri kwa kukulambisha sukari kisha utamtatulia tu matatizo yake utake usitake!
Gonga kisha utakupa list ya shida zake umtatulie, na hizo shida zinatatulika kwa pesa!
Mkuu una akili saana, hii ni moja ya sababu kuu iliyokuwa inanifanya ni'delay kuvunja amri za Mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom