Mpelelezi ananifurahisha sana, majibu yake.
kwa muonekano tu wa mahojiano haya ina maana kuwa ukipata habali ya hatali ufunge mdomo wako kwa maana wewe ndio utakae wekwa pabaya na sio yule unae mlipoti Mtu kasomea taaluma yake lakini maamuzi nikama ya asiye soma.
Wakili kamuuliza, "Je...
HAKIKA
Kama unataka kuwa katili na roho mbaya fanya kama alivyo kwambia mdau hapo juu
na ninge kushauli uanze na kujikata kidole ili utamu na furaha utakayo ipata ndo hiyo hiyo ndo waipatayo hao unaotaka kuwaumiza.
Hatua hii najua kila mtu aliipitia .
Naomba uandike maneno ya watoto unayo yakumbuka
naanza na haya ya mwanangu
.. mboda (mboga)
..mma (maji)
..kitombe (kikombe)
daa tumetoka mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.