Nini nifanye kwa mpenzi wangu?

Nini nifanye kwa mpenzi wangu?

Jitahidi kumtafuta kwa namna yeyote ile
Unaweza kumtafuta nyumbani kwao ama mahali anapoishi au kuktafuta kupitia ndugu na watu wake wa karibu,
Mtafute ili ujue ni nini kilichomfanya awe kimya kwa muda mrefu hata kutojibu meseji zako,
Ila kwa mtazamo wangu,
Nahisi atakuwa amepata mwanaume mwingine,
Maana kutopokea simu na kutojibu meseji ni njia moja wapo kuwa mpenzi wako anakuacha taratibu.
Na baadae utakuja kushtuka kiari ana mtu mwingine au ameshaolewa kiari.

Cha kufanya mtafute ili ujue ni tatizo gani? Analo au ndio makusudi anakufanyia.

Ukigundua chanzo chake
Usiwe na mawazo najua ulimpenda na mmepanga mengi kuhusu maisha,
Cha kufanya jiweke busy kwenye masomo yako hapo chuoni, Fanya mambo yako mengine ya muhimu.

Pia uwe mtu wa ibada,
Kusali kila Mara kufanya maombi. Muombee na mpenzi wako.

Usiumie sana kwa sababu kila kitu kila tukio kila jaribu ni Mapito na kusudi la mungu.
Utampa mpenzi ambaye atakuwa bora kwako.
Asante sana mkuu kwa kunitia moyo
 
SIO POA WADAU IMEKUWA KIJITABIA FURAN KILA KIJANA AKITAKA KUOMBA MAUSHAURI ANAJITAMBURISHA YEYE ANA SOMA CHUO AU YUPO OFISI FURAN UKIINGIA INDEEP KUMBE YUPO KITAA MTOTO WA MAMA INSHORT WADAU TUSIPENDE MISIFA YA KIJINGA HAPA ACHEKWI MTU WALA DHARAU HAMNA WOTE TUPO SAWA UKISEMA MWENDESHA BODA BODA ,MZEE WA KUBET ,MCHEZA POOL ,FUNDI SIMU , UTASAIDIWA USIOGOPE
 
Wew kuwa chuo mwaka #2 ndio sababu yakushindwa kufanya maamuzi

Sasa tukusaidie nini maana hata shida yako cjaielewa
 
Ana Bwana mwingine huyo.

Na ndie anaemgharamia kila kitu, anapokuwa nae anakosa uhuru wa kuwasiliana na wewe kwakuwa hataki ajulikane kama ana Mwanamme mwingine, ambae ni wewe.

Hapo kila mmoja anakuwa anahudumiwa kwa wakati wake.

Na kwa muonekano, huyo Mwanamke ni mjanja kuliko wewe ndio maana unashindwa kumstukia.

Cha kufanya,

Usipoteze muda wako, achana nae.

Atakuharibia mwelekeo
 
Anachepuka huyo jaribu kuonana nae then ask her Wenda kunatatizo
Pia kumbuka fimbo ya mbali hai uwi nyoka
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
Huna akili
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
Mjinga san wewe soma acha kuendekeza ngono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom