tshabalala_the_greto
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 452
- 229
Ukitaka kujua chadema ni chama cha mfano na cha kuigwa suburi uone siku wanamtangaza mgombea wao utajionea mwenyewe,itakuwa ni historia na haijawai kutokea nchini tanzania
Naona Lumumba wanakutumia vibaya! kuvuruga na kupotosha ukweli wa mambo....nenda kachukue ujira wako sasa