Recent content by Boflo

  1. Boflo

    JamiiForums Tanzania Magufuli atawamudu Home Shopping Centre?

    True, Mwana FA anakuja Gym ya Masaki na Salaah krb na Seacliff Hotel daily
  2. Boflo

    JamiiForums Tanzania Rais akutana na Kiongozi Mkuu wa Dawoodi Bohra na Mufti Mkuu wa Tanzania

    Na wakija kukuona wanakuja na maburungutu….
  3. Boflo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli yashamshinda?

    Anatupeleka Dodoma……Kwa akina Matonya
  4. Boflo

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya handicap kwenye kubet

    Utajibiwa..
  5. Boflo

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu limao na kupunguza "Cholesterol" (mafuta) mwilini

    Vipi kuhusu ndimu? vitu vilivyo ndani ya limao vina tofauti gani na ndimu??
  6. Boflo

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Hata mkichonga sana, chongeni tu kwani kishasema hagombei tena urais
  7. Boflo

    JamiiForums Tanzania Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

    Kwa nn shule za primary, wanawafundisha watoto kua the color of sky is blue... Muulize mtoto yeyote wa primary atakujibu hivyo
  8. Boflo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Mwandishi: Siku 7 zimepita, je kodi imelipwa? Magufuli: Kamuulize commissioner wa kodi... Kwani nani alotoa siku 7??????????????????????????????????????????????????
  9. Boflo

    JamiiForums Tanzania Do you want to boost your funeral??

    :laugh::laugh::laugh::laugh:
  10. Boflo

    JamiiForums Tanzania Nini kingetokea kama sisi binadamu tungekuwa na mkia?

    Wapendanao wangetembea barabarani huku wamefunga mikia yao pamoja
  11. Boflo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchumba wangu ana madeni balaa

    mlete kwangu, sikopeshi wanawake, nawapa pesa bure..
  12. Boflo

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Dar amsihi Manji kuachia ufukwe wa Coco Beach

    Hii nchi ya ajabu sana, watu wanang'ang'ania Coco beach, why?? Utakuta watu wanatoka Kigamboni, Mbagala, Mbezi Beach....., na huko wanapotoka kuna beach nzuri na safi tu, kwa nini wasiende huko? Hawa ndio wanasababisha msongamano, wizi, ukahaba mjini
  13. Boflo

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya kuendelea kugharimia safari za Jakaya Kikwete imetoka wapi?

    Ukikaa nje sana, unapata ugonjwa mbaya sana, mimi niliwahi kukaa nje sana, ikawa kila nikija Bongo nakuwa najisikia kusafiri na kuondoka, kwa kweli mkwere atahitaji maombezi ili aondokane na huu ugonjwa
  14. Boflo

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi huru: Jakaya Kikwete anafuata nyayo za Rais Vladimir Putin?

    Mambo yakiwa magumu sana, anaita wazee wa Daresalama
  15. Boflo

    JamiiForums Tanzania Do you want to boost your funeral??

Back
Top Bottom