All in all hata jamii inachangia wao kuwa hivyo...kwa maana ya watu walio wengi kupenda mambo ya kipuuzi, kiutopolo n.k... Kwa hiyo wanachofanya ni ku reflect kilichopo huku ground [emoji847][emoji847][emoji4]..ila pia professionalism haizingatiwi Sana kwenye hizi so called radio stations...
NIMEPITIA COMMENTS ZA WADAU HAPA NIKAITIMISHA WENGI NI CHUKI ZISIZO NA MAANA NA HAZISAIDII dhidi ya utaratibu wa huku uchagani....huo utamaduni huku uchagani...ulikuwepo since nyerere regime na utaendelea ku exist in many years to come...
Kusema wachaga wanaenda kufanya kafara sijuhi kunywa...
Hivi mpaka sasa kwa tathmini nani aliyeko hapo chini...tunaweza kusema ni title contender.....[emoji23][emoji23]
Man u wameshinda jana wanajifarijj wanakimbiza mwizi kimya kimya....
Mimi ni graduate... product ya mwaka huu.. kila kazi inayokuja mbele yangu naipiga.kibarua cha kulima,iwe kufyeka,saidia fundi napiga... ilimradi tu ni kazi halali isiotweza na kuidhalilisha utu wangu.... nilipokuwa chuo nilishajiandaa kisaikolojia sana.hivyo nimekuja ground sina...
Thanks buddy ... kwakweli kuwa at the top huu msimu wa krismasi ni jambo la heri....all in all mfumo wa klopp jinsi anavyo wafanyia diversification wachezaji hakika nimeona umuhimu wake.. Mungu ibariki liverpool .. Mungu tubariki wana liverpool wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.