sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,081
- 7,454
Kazi inahusu mambo mengi ofisini, kuna kupika chai ofisini, kufanya usafi wa hapa na pale, mwanaume ataweza?Mwanamke nirahisi kumuunganishia Moshe yoyote mwanamke mwenzie kuliko sisi wanaume.
MTU mwenye matatizo ya akili was like hawezi tembea mita 100 akiwa uchi mbele ya wanawake wenzie ila mgonjwa was akili wa kiume anaweza toka mwanza hadi dar bila hata mwanamme mmoja kumpa suruari.
Wanaume tungekuwa tunapendana kusingekuwa MTU anatembea kwa miguu safari ya kuhama mkoa ingari karibu kila gari linalopita linaendeshwa na mwanaume mwenzie. Ila cha kushangaza wanawake ndo hawatembei kwa miguu na hawana magari. Ukienda kuomba kazi kwa mwanaume uko na Dada yako na mko na vigezo sawa basis tegemea dadayako ndo atapata kazi ila we subiri sana