Recent content by bmusic

  1. B

    Ukitaka ku-enjoy maisha ya ndoa oa single mother

    Ni single mother tena...touuuuch
  2. B

    Tozo zisizoeleweka bandarini zapelekea maduka kufungwa Kariakoo, fremu nyingi zabaki wazi

    Mkuu acha tu, huku mikoani hali haieleweki kabisa! Maana kama sisi hatuuzi hata huko Kariakoo hali itakuwa mbaya tu, sijui hatma ya haya yote ni nini? Wengine angalau tuliamua tujiajiri baada ya mambo ya ajira kuwa magumu, matokeo yake hata huku tuliko wanatukimbiza sijui twende wapi!
  3. B

    Dully Sykes: wasanii wa Bongo Fleva wamekuwa kama Kaa

    Ungemwambia Jay Moe akusaidie kushare... Hivi Dully Sykes ni mtu wa kulialia eti wasanii hawajampost kweli?? Kama kashindwa kutengeneza fan base asimlaumu mtu, ni uzembe wake mwenyewe!!
  4. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Anaweza akanasa yeye mkuu
  5. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Kwamba atatumia kanuni ya PMU(Pata Mimba Uolewe)?
  6. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Aisee ili iweje, ngumu sana hiyo!
  7. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Namaanisha bila makubaliano yeyote...hakuna tuliloliongea kuhusu mahusiano yetu, alitegesha nyapu nikapiga basi hakuna story za ziada!
  8. B

    Kuna tofauti gani kati ya kukosea kuoa/kuolewa na changamoto za kawaida katika ndoa?

    Kuna mdada aliolewa last year mwishoni, hawakukaa hata wiki wakaachana! Nafikiri situation kama hii ni tafsiri halisi ya kukosea, changamoto huwa zinavumilika siku zote!! Ila tatizo ni kwamba ili ujue kwamba umepatia au umekosea lazima uoe au uolewe kwanza!!
  9. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Ni kweli mkuu, nimewaza hilo pia !
  10. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Kweli mkuu sina hisia zozote..ila kumuacha imekuwa ngumu maana kipindi hicho alibanaga hata sikumbandua..
  11. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Hakuna mapenzi..yalishaenda kitambo sana!
  12. B

    Ametanga na njia sasa amerudi tena!!

    Ni miaka kama 7 imepita toka huyu mdada aniache pasipo sababu ya kueleweka, nilikuta tu mtu kaanza kunichunia..miezi ikapita na hata nilipokuja kuonana naye, aliniambia wazi nitafute mtu mwingine! Nikajisemea isiwe kesi ila kifupi niliumia sana, kwanza nilimpenda pili nilikuwa mwaminifu sana...
  13. B

    Bima ikiiva piga moto jengo

    Watu humu wana mawazo ya kijima aisee [emoji3][emoji3]
  14. B

    Kama Taifa ni wapi tumekosea? Mbona kama Magufuli anaipoteza nchi??

    Hapo watetezi wa kufanya kazi kwa bidii huwa nashindwa kuwaelewa... Biashara haziendi kabisa, nina jirani yangu alikuwa anauza chokaa na cement leo kafunga biashara, sasa huyu ukisema aongeze juhudi anaongeza juhudi gani? Mi mwenyewe hapa nina biashara ya hardware..toka huu mwezi uanze sijawahi...
Back
Top Bottom