Mkuu acha tu, huku mikoani hali haieleweki kabisa! Maana kama sisi hatuuzi hata huko Kariakoo hali itakuwa mbaya tu, sijui hatma ya haya yote ni nini?
Wengine angalau tuliamua tujiajiri baada ya mambo ya ajira kuwa magumu, matokeo yake hata huku tuliko wanatukimbiza sijui twende wapi!
Ungemwambia Jay Moe akusaidie kushare...
Hivi Dully Sykes ni mtu wa kulialia eti wasanii hawajampost kweli?? Kama kashindwa kutengeneza fan base asimlaumu mtu, ni uzembe wake mwenyewe!!
Kuna mdada aliolewa last year mwishoni, hawakukaa hata wiki wakaachana!
Nafikiri situation kama hii ni tafsiri halisi ya kukosea, changamoto huwa zinavumilika siku zote!!
Ila tatizo ni kwamba ili ujue kwamba umepatia au umekosea lazima uoe au uolewe kwanza!!
Ni miaka kama 7 imepita toka huyu mdada aniache pasipo sababu ya kueleweka, nilikuta tu mtu kaanza kunichunia..miezi ikapita na hata nilipokuja kuonana naye, aliniambia wazi nitafute mtu mwingine!
Nikajisemea isiwe kesi ila kifupi niliumia sana, kwanza nilimpenda pili nilikuwa mwaminifu sana...
Hapo watetezi wa kufanya kazi kwa bidii huwa nashindwa kuwaelewa...
Biashara haziendi kabisa, nina jirani yangu alikuwa anauza chokaa na cement leo kafunga biashara, sasa huyu ukisema aongeze juhudi anaongeza juhudi gani?
Mi mwenyewe hapa nina biashara ya hardware..toka huu mwezi uanze sijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.