Kwema wanayanga wenzangu, naomba kuunganishwa na magroup ya wasap maana huko ni rahisi kupata updates, Kama Kuna mwenye link ya kujoin naomba aweke hapa ni-join
Jibu ni rahisi mkuu,,nyerere ndio raisi wa kwanza was Tanzania, pili ndio raisi aliesave muda mrefu pia kaacha mafanikio mengi Tanzania I mean Zanzibar na Tanganyika
Karume alikuwa raisi wa Zanzibar so hajaqulify kuwa baba wa Taifa labda aitwe baba wa Zanzibar
Ninachokiamini wakenya wengi watatumia kigezo cha east Africa common market kuja kutafuta makazi bongo ili wapate neema zinazokuja after ten years,, but hii fursa nadra sana kuipata my president is watching your mind
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.