Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,319
- 7,655
Ni credit towards kuwa baba wa taifa, hiyo ni cv bosssasa hapa ukileta neno AFRICA itabidi aitwe Baba Wa BARA LA AFRICA si ndiyo?
Ni credit towards kuwa baba wa taifa, hiyo ni cv bosssasa hapa ukileta neno AFRICA itabidi aitwe Baba Wa BARA LA AFRICA si ndiyo?
Sasa Zanzibar anakuwaje sehemu ya TANZANIA ikiwa Tanzania ametoholewa kutokana na jina Zanzibar rekebisha kumbu kumbu chiefZANZIBAR si TAIFA, unataka awe baba wa Taifs gani?
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, ni mkoa flani tu.
sikupingi pia mkuu sababu sina majibu kamiliiI ila sijui ni nani ? Alianza kumuita jina hili mwalimuNi credit towards kuwa baba wa taifa, hiyo ni cv boss
Tanganyika + Zanzibar = TanzaniaSasa Zanzibar anakuwaje sehemu ya TANZANIA ikiwa Tanzania ametoholewa kutokana na jina Zanzibar rekebisha kumbu kumbu chief
ahaha asilimia zinazidi mkuuZaidi ya 90% ya Watanzania wanamkubari Nyerere.....
May be ni 40% ya Watu wanaomkubari Karume Zanzibar...
Karume Hawezi kuwa baba wa taifa.. Kwakuwa zanzibar sio nchi.. Af we ushaona wapi baba wanakuwa wawili. Labda awe mama wa taifa kwakuwa alidanganywa na nyerere.Heshima kwenu Sana JF
.
Leo katika kumbukizi ya kifo cha MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE , kuna mambo mengi Sana natamani ni yajue
Mosi ; ikiwa tuna fahamu ya kuwa Tanzania ni nchi ambayo imetokana na muunganiko Wa mataifa haya mawili yaani Tanganyika na Zanzibar
.
Pia tunajua fika kuwa kabla ya muunganiko huu mataifa haya yalikuwa na waasisi wake ambao ni MZEE KARUME & MZEE JULIUS
.
Hapo awali nilifikiri hii sentensi ya "BABA WA TAIFA " Ipo katika nafsi ya uwingi kwa maana ya kuwa tuna baba zetu Wa TAIFA wawili
.
Lakini ajabu ni kuwa Tanzania tuna mtambua mzee nyerere pekee Kama baba Wa TAIFA hili kwanini?
Natamani wajuzi Wa mambo mnifahamishe kuhusu hili
ulicho andika nisawa na mfano huu ANNA JUMA azae mtoto amuite JOSHUATanganyika + Zanzibar = Tanzania
Now Zanzibar is a part of the newTanzania {Not Tanganyika}
ahaha hicho siyo kiswahili ila huo ni uswahiliKwenye wingi ingekua 'MABABA WA TAIFA'.
wacha Tumtafute baba tukimpata tutamjua na mamaJe Mama wa Taifa ni nani
unapo sema Zanzibar siyo nchi Una maanisha nini? Sasa yule Raisi Wa Zanzibar anaongoza nchi gani?Karume Hawezi kuwa baba wa taifa.. Kwakuwa zanzibar sio nchi.. Af we ushaona wapi baba wanakuwa wawili. Labda awe mama wa taifa kwakuwa alidanganywa na nyerere.
Kwahiyo Karume ni mama wa Taifa? Mpeni hata ubaba wa kambo basi..Taifa kama ilivyo familia, haliwezi kuwa na Baba wawili.
Lakini pia Hana vigezo.
Pale south Africa,wapigania Uhuru walikuwa wengi,Chriss Hani,Steve Biko,Desmond Tundu,Mangosuthu buterezi,Oliver Tambo,lakini aliyepewa heshima kubwa ni Madiba,Mandela!Heshima kwenu Sana JF
.
Leo katika kumbukizi ya kifo cha MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE , kuna mambo mengi Sana natamani ni yajue
Mosi ; ikiwa tuna fahamu ya kuwa Tanzania ni nchi ambayo imetokana na muunganiko Wa mataifa haya mawili yaani Tanganyika na Zanzibar
.
Pia tunajua fika kuwa kabla ya muunganiko huu mataifa haya yalikuwa na waasisi wake ambao ni MZEE KARUME & MZEE JULIUS
.
Hapo awali nilifikiri hii sentensi ya "BABA WA TAIFA " Ipo katika nafsi ya uwingi kwa maana ya kuwa tuna baba zetu Wa TAIFA wawili
.
Lakini ajabu ni kuwa Tanzania tuna mtambua mzee nyerere pekee Kama baba Wa TAIFA hili kwanini?
Natamani wajuzi Wa mambo mnifahamishe kuhusu hili
Pale south Africa,wapigania Uhuru walikuwa wengi,Chriss Hani,Steve Biko,Desmond Tundu,Mangosuthu buterezi,Oliver Tambo,lakini aliyepewa heshima kubwa ni Madiba,Mandela!
Ni baba mdogo wa Taifa.Heshima kwenu Sana JF
.
Leo katika kumbukizi ya kifo cha MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE , kuna mambo mengi Sana natamani ni yajue
Mosi ; ikiwa tuna fahamu ya kuwa Tanzania ni nchi ambayo imetokana na muunganiko Wa mataifa haya mawili yaani Tanganyika na Zanzibar
.
Pia tunajua fika kuwa kabla ya muunganiko huu mataifa haya yalikuwa na waasisi wake ambao ni MZEE KARUME & MZEE JULIUS
.
Hapo awali nilifikiri hii sentensi ya "BABA WA TAIFA " Ipo katika nafsi ya uwingi kwa maana ya kuwa tuna baba zetu Wa TAIFA wawili
.
Lakini ajabu ni kuwa Tanzania tuna mtambua mzee nyerere pekee Kama baba Wa TAIFA hili kwanini?
Natamani wajuzi Wa mambo mnifahamishe kuhusu hili
ahaha wabongo dah!Kwahiyo Karume ni mama wa Taifa? Mpeni hata ubaba wa kambo basi..
Karume alipata nchi kwa MAPINDUZI , Nyerere alipata Tanganyika kwa POROJO..
Nani katika hao ana hadhi ya kuwa BABA?
Marekani ina founding fathers kama sita ivi Wakina Washington, Alexander hamiliton, Ben FranklinTaifa kama ilivyo familia, haliwezi kuwa na Baba wawili.
Lakini pia Hana vigezo.
Zaidi ya 90% ya Watanzania wanamkubari Nyerere.....
May be ni 40% ya Watu wanaomkubari Karume Zanzibar...