CRDB Bank utaratibu mnaotumia kuwaita watu kwenye usaili wa kazi ni wa kibaguzi

kuongezea apa!

la kwanza, wewe kua offline wakati una shida ya kazi tayar ni inaonesha haupo serious
la pili hamna mtu anakusubiria simu ikizima wateja lazima waendelee kuhudumiwa! ata kama ilikua bahati yako kupata hio kazi lakini by default umeshaikosa, zoezi dogo tu ilo na ni interview tosha! we kama nan tukusubirie uwashe simu?na hii inaonyesha jinsi gan watanzania hatufanyi mambo in standard, kwa kifupi hatupo serious na maisha
Yani mtu hajaanza kazi tayari kashaanza kupanga masharti ya interview, akipata kazi je?
 
Kutokana na soko la ushindani,kupatikana kwenye simu ni muhimu,kutokupatikana kwako unakuwa umeepusha msongano. Mfano miaka 8 iliyopita niliomba kazi kupitia hizi taasisi za nje,nikiwa niko kwenye mizunguko yangu mjini....nikapigiwa simu kutoka Australia,wakajitambulisha ni bank fulani na wakathibitisha jina langu,na wakaniambia niwapatie muda ndani ya masaa mawili wanipe test kwa njia ya internet;tulikubaliana muda na nilifanya test yao...ilikuwa ni michoro michoro tu ya logic. ninachotaka kusema hapa,kupatikana kwenye simu kwa muda muafaka ni muhimu zaidi hasa hiki kipindi chenye ushindani mkubwa.
Yani kile kitendo cha kwamba wewe hujapatikana tu, mwenzako akapatikana, tayari ni kosa kubwa.

Mwenzako kashapata nafasi kabla yako, wakimpenda wanaweza kusema huyu huyu atatufaa, yule mwingine hata kumpata hatujampata.
 
Yani mtu hajaanza kazi tayari kashaanza kupanga masharti ya interview, akipata kazi je?

kuna uwezekano akilini kwako anawaza tu mshahara, angejua battle makampuni wanaopigana kupata wateja angekua na nidham sana
 
Yani kile kitendo cha kwamba wewe hujapatikana tu, mwenzako akapatikana, tayari ni kosa kubwa.

Mwenzako kashapata nafasi kabla yako, wakimpenda wanaweza kusema huyu huyu atatufaa, yule mwingine hata kumpata hatujampata.

sahihi kabisa mkuu! tatizo ni userious wetu tu watanzania hakuna kabisa, kila kitu watu wanaweka siasa, dunia ishabadilika standard nazo znabadilika no one waits for anyone
 
kuongezea apa!

la kwanza, wewe kua offline wakati una shida ya kazi tayar ni inaonesha haupo serious
la pili hamna mtu anakusubiria simu ikizima wateja lazima waendelee kuhudumiwa! ata kama ilikua bahati yako kupata hio kazi lakini by default umeshaikosa, zoezi dogo tu ilo na ni interview tosha! we kama nan tukusubirie uwashe simu?na hii inaonyesha jinsi gan watanzania hatufanyi mambo in standard, kwa kifupi hatupo serious na maisha
Tumia akili mkuu we simu yako masaa 24 yote huwa iko on na siku zote njia nzuri pia ni sms nazan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninashukuru Mungu nilishiriki hii Interview, asubuhi tulifanya Written na jioni tulifanya Oral. Nakumbuka ilikuwa 05.02.2020 na nilifanyia Mikocheni Dar.
Walinipigia simu 03.02.2020 jioni na wengine walikiri kupigiwa simu 04.02.2020
Pata picha hauna nauli na kazi umeitwa, utajinyea kwa uchungu. Walidai tusubiri siku 14 baada ya ile 05.02.2020 ndio tuanze kuwa karibu na simu zetu kwani ndio waliopata watataharifiwa.
Ila ukweli ni kuwa simu pekee haitoshi, SMS ni muhimu ila majina katika Mtandao sishauri kwani kuna raia wanapenda kuharibu mafanikio ya wengine, kudharau kazi ya wengine, ndugu nao wanaweza fikiri umepata bonge la kazi kumbe unazuga tuu, SMS should be the solution.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hivyo hizo nafasi anaweza akafanya yoyote kati ya wale waliokuwa shortlisted na ukute kila post wameweka watu kadhaa pamoja na reserve kwa ajili ya interview hivyo simu nayo inakuwa ni sehemu ya kitimoto, ukikosekana wanakwenda kwa mwingine. (wanajua kabisa wakikuajiri bado watakupa orientation na mafunzo ya siku mbili tatu na kufanya kazi chini ya uangalizi). Na ndio maana unapigiwa simu tarehe 3 interview tarehe 5 wanajua wanaowataka watawapata tu kwenye kundi walilo-shortlist maana kuna post zingine inapigwa interview alafu inatangazwa tena kutokana na aina ya wafanyakazi wanaowataka

Ila kama ni nafasi inayohitaji mtu ambae wanataka watumie uzoefu wako, lazima watakupigia na kukutumia email kwa maelezo zaidi na kupanga siku ya interview yaani hata siku 5 au 7 na zaidi baada ya kupigiwa simu.
 
Mimi nipo makini sana na Mawasiliano 100%. Email, Calls, SMS etc. Muda wowote available maana natafuta kazi kwa uchungu sana na sema tuu, waajiri hawajaniotea.
Ukiona hivyo hizo nafasi anaweza akafanya yoyote kati ya wale waliokuwa shortlisted na ukute kila post wameweka watu kadhaa pamoja na reserve kwa ajili ya interview hivyo simu nayo inakuwa ni sehemu ya kitimoto, ukikosekana wanakwenda kwa mwingine. (wanajua kabisa wakikuajiri bado watakupa orientation na mafunzo ya siku mbili tatu na kufanya kazi chini ya uangalizi). Na ndio maana unapigiwa simu tarehe 3 interview tarehe 5 wanajua wanaowataka watawapata tu kwenye kundi walilo-shortlist maana kuna post zingine inapigwa interview alafu inatangazwa tena kutokana na aina ya wafanyakazi wanaowataka

Ila kama ni nafasi inayohitaji mtu ambae wanataka watumie uzoefu wako, lazima watakupigia na kukutumia email kwa maelezo zaidi na kupanga siku ya interview yaani hata siku 5 au 7 na zaidi baada ya kupigiwa simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Interview zina mbinu nyingi za kupunguza wasailiwa. Lakini mtoa mada namuunga mkono kwa alichokisema, waajiri wasitafute sababu ambazo hazina tija za kumtoa mtu kwenye mstari, wahakikishe nja zote za kuwasiliana na mhusika zinamfikia ili aje kwenye interview na ashindwe kihalali, ya kukupigia simu tu tena mara moja ni kuviziana huko. Sio nzuri.

Mdogo wangu naye alikutwa na kadhia kama hiyo, cha kusikitisha ni kwamba wakati anakuja kushika simu anakuta missed call ina dakika 1 na sec 05, akawapigia niko yake karibu hapo bahati nzuri akamkuta mhusika aliyepiga simu, kwa jinsi nilivyokuwa namsikia akimjibu huyo aliyempigia simu nilimwambia mdogo wangu kama siku yako ya kupata kazi haijafika basi bana, hii haikuwa bahati yako, It was really unfair. Lakini Mungu siku zote ni mwema, alipata kazi sehemu nyingine na maisha yanaendelea.
 
Huo usaili ulifanywa kwa zones zote au ni Kanda ya mashariki/dar pekee?? Majibu pls.waungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu CRDB BANK walitangaza nafasi mara mbili ya kwanza ilikua sales executive nafasi zilikua 100 na ilikua unaomba kwenye email moja tu hii hawakutenga kuomba kwa zones hivyo waliotwa hawakuitwa kwa zones

Nafasi nyingne ilikua business development officer(agency banking) nafasi 100 ambayo yenyewe ilikua mwisho taree 5 february hii ndio maombi yalikua yanafanyika kwa zones yaani waliweka kila zones na email yake hii bado hawajaita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoa mada wengi mnaweza mkawa hamjatembelea baadhi ya mikoa kuona tatizo la upatikanaji wa mtandao imagine hapa nilipo ni km 8 kutoka katikati ya manispaa ya moja kati ya mji mkongwe wa kihistoria lakini network hakuna ofisi inatumia fibre ya TTCL sasa ukinipigia simu sipatikani utasema sipo serious na mawasiliano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu CRDB BANK walitangaza nafasi mara mbili ya kwanza ilikua sales executive nafasi zilikua 100 na ilikua unaomba kwenye email moja tu hii hawakutenga kuomba kwa zones hivyo waliotwa hawakuitwa kwa zones

Nafasi nyingne ilikua business development officer(agency banking) nafasi 100 ambayo yenyewe ilikua mwisho taree 5 february hii ndio maombi yalikua yanafanyika kwa zones yaani waliweka kila zones na email yake hii bado hawajaita

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante Mkuu umenielewesha hapa nilishasikitishwa tayari


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mtu hajaanza kazi tayari kashaanza kupanga masharti ya interview, akipata kazi je?
Hawa ndio wakiingia kazini wanaanza kusumbua wateja na mapozi utadhani wateja wanakuja kuhudumiwa bure.....

Ushawahi kwenda benki unakuta madirisha ya teller yapo kama kumi lakini matatu ndio yana wahudumu. Halafu kuna vijana wa kike na wakiume wanajizungushazungusha kila kona wanabeba beba mafaili hata hawaeleweki wana shughuli gani hapo benki.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom