Habari namba 4 Kifo cha aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela kwa sababu aliwasamehe Makaburu na hakuwa na uchu wa madaraka kama viongozi wengine. NAIPENDEKEZA KUWA HABARI KUU KWA MWAKA HUU KWANI VYOMBO VYA HABARI TV, RADIO, MAGAZETI, MITANDAO, BLOGS N.K. VILIELEKEZA...
Mwalimu mmoja wa shule zetu kama nilizosoma mimi shule za msingi yani alimuagiza mwanafunzi wake akichanganya lugha ya kiswahili na kiingereza...... MWALIMU; we Evarist nifatie stick nimtandike huyu John MWANAFUNZI: mwalimu sasa hapa ni mbali na dukani ntazipata wapi hata hela hujanipa...
Jamaa fulani alirudi nyumbani kwa huzuni mazungumzo yao yalikuwa hivi: MKE:Mbona leo una huzuni mume wangu? MUME:Ofisi yetu imeungua ni mimi,sekretari,mhasibu,bosi na mkurugenzi mkuu ndo hatukuwepo mi nilikuwa nimetoka nimeenda kujisaidia haja kubwa. MKE:Maskini ehee sasa hao familia zao...
Kwa kawaida matokeo hutoka mwezi wa pili ila nasikia watu wakisema kuwa mwaka huu yatatokd mwezi wa 4 pia huwa yanapatikana kupitia web ya www.necta.matoke.go.tz pia unaweza kuyaGoogle bila kuvisit hiyo web
Huyu jamaa aliyekufa inasemekana alikuwa anapiganha Bar Meid na mwenzie sasa wakapigana mpaka wakapigana mapanga sasa haijajulikana kama alijiua au wenzie ndo walimuua kwa sababu alikutwa amejinyongea dirishani na dirisha lenyewe fupi ndo cha kushangaza
Namaanisha kuwa watu hawa wawili walikuwa wanampango wa kubinafsisha Ziwa Kwa kipindi kile bado wako madarakani sasa sijui walikuwa na mpango gani miaka 77 na sisi wakazi wa kanda ya ziwa sasa je unahisi leo tungekuwa wapi sijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.