Matokeo yamefisadishwa kwa Rostam Aziz/Vodacom na Necta. Ukitaka kujua matokeo yako inabidi umlipe shs 400 kwa kila mwanafunzi kwa kila wakati. Hakuna ujanja wa kujua wenzako wamepata nini au shule yako imeshindana vipi na shule nyingine. Hivyo ndivyo serikali yetu, na hivyo nchi yetu pamoja na watu wake, vimetwaliwa na mto mmoja, tena mtu mwenyewe si raia kwani ni raia wa nchi nyingine.
Matokeo yamefisadishwa kwa Rostam Aziz/Vodacom na Necta. Ukitaka kujua matokeo yako inabidi umlipe shs 400 kwa kila mwanafunzi kwa kila wakati. Hakuna ujanja wa kujua wenzako wamepata nini au shule yako imeshindana vipi na shule nyingine. Hivyo ndivyo serikali yetu, na hivyo nchi yetu pamoja na watu wake, vimetwaliwa na mto mmoja, tena mtu mwenyewe si raia kwani ni raia wa nchi nyingine.
Anaefahamu anijulishe tafadhali pia kama kuna anae jua web anipe tafadhar
Mtu ovyooooo!!!!!!, kama mji usiokuwa mjumbe!!!!. Kama huna cha kuchangia kaa kimya utakuwa umefanya la maaana likiwemo la kutojaza saver ya JF
wewe uko dunia gani... Mrisho Mpoto keshasema maisha yetu kila kitu ni dili...!!!RA anapiga hela kama kawa...!!kalaghabaho!!!Acha kudanganya watu.
Matokeo yanatoka kwenye Internet kila mwaka.
ectopic crapMatokeo yamefisadishwa kwa Rostam Aziz/Vodacom na Necta. Ukitaka kujua matokeo yako inabidi umlipe shs 400 kwa kila mwanafunzi kwa kila wakati. Hakuna ujanja wa kujua wenzako wamepata nini au shule yako imeshindana vipi na shule nyingine. Hivyo ndivyo serikali yetu, na hivyo nchi yetu pamoja na watu wake, vimetwaliwa na mto mmoja, tena mtu mwenyewe si raia kwani ni raia wa nchi nyingine.
Acha kudanganya watu.
Matokeo yanatoka kwenye Internet kila mwaka.
Matokeo yamefisadishwa kwa Rostam Aziz/Vodacom na Necta. Ukitaka kujua matokeo yako inabidi umlipe shs 400 kwa kila mwanafunzi kwa kila wakati. Hakuna ujanja wa kujua wenzako wamepata nini au shule yako imeshindana vipi na shule nyingine. Hivyo ndivyo serikali yetu, na hivyo nchi yetu pamoja na watu wake, vimetwaliwa na mto mmoja, tena mtu mwenyewe si raia kwani ni raia wa nchi nyingine.
Jamani matokeo ya kidato cha nne mpaka lini mbona mnatueka tuekeeni tujijue