Kwanini wasichana wanashindwa kutuamini?

Kwanini wasichana wanashindwa kutuamini?

Nakumbuka enzi hizo nakuakua, mzee wangu aliniambia "soma kwanza utaoa unae mtaka katika dunia hii ila kwa sasa spare this time for your betterment, women are always there, mtafute kwanza elimu ungali una nguvu kabla hazijaja siku ngumu kwako" hiyo ni sehemu ya maneno yake kwangu up to this moment I always recall it so lad concentrate on what is better for your future, wanawake wapo wengi we tafuta hela elimu ana hela utampata unae mtaka
 
Jamani mada nyingine zinaletwa kutuvunjia heshima ili tusionekane great thinkers, ebu tazama mtu mwenyewe ka join leo tarehe 24 January 2013, kisha angalia miaka yake 18 na wakati huo huo anadai kawa kwenye uhusiano na huyo msichana kwa mwaka mmoja meaning ameanza akiwa under 18! Pia anadai licha ya kuwa na wasichana wengi duniani lakini anampenda huyu na msichana anampenda. Jamani huu si ni mchezo wa kitoto Kibaba-baba tuchangie nini hapa, tumpe mawazo gani huyu?!


Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???
 
Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???

Bwana mdogo usemi wa mtu mzima ni miaka 18 ni wa kisisa. Kwa umri huu kwenye mambo ya mapenzi utavuna mabua. Kaza msuli kielimu kwa manufaa yako ya baadaye.
 
siku hizi MMU imekua shamba la bibi anaejisikia kula mihogo halali yake,anaejisikia kula kahawa poa tu,anaejisikia kuchinja mbuzi hakuna shida,imebaki siku humu tukute thread ya mtoto wa miezi 10 anaulizia pampers zake ziko wapi ndo tutakapostaajabu ya musa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!unatafutwa na sheria ya SOSPA we endelea tu.
 
kumalza kdato cha 4 c ukubwa! Mwache mwenzio asome bhana
 
duh, aisee, khaaaa, ni noma sana. bonge la tusi
 
mmh hapo uko wrong way. Chakufanya ukikutana naye uczungumze naye khusu mapenzi hii itamfanya ajisikie kuwa umelizika na hali ilivyo. HII ITAMFANYA AKUTAFUTE YEYE MWENYEWE..!
 
Hivi mtoto wa miaka 18 saiz si ndo alizaliwa mwaka 1995? inakuwaje dogo unajibishana na baba zako? acha ngono dogo haina mpango
 
Huo ndo ukweli kuwa utamchezea tu,... Kama wewe ni 18 je demu wako anaumri gani? Unadhani utamuoa?
 
Huyu dogo si akamuulize mzazi wake kama huyo binti yuko sahihi? Maswali mengine ni balaa...kama una dini yoyote hata kama ni ya mizimu nenda kawaulize viongozi wako kama huyo binti yuko sahihi au la, maana hata hiyo form four yako ni janga ...
 
Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???

Yupo sahihi kwani we unataka ngono au penzi? Tatizo unaonekana una uchu sana na uchi wake so kwa nini usimsubilie hadi awe willing.Kwani hujui kwamba wanawake wanaenjoy ngono kama wanafanya kwa mtu anaemtaka kwa muda anaotaka.
 
miaka 18....mmeanza ukiwa na miaka 17....

Hivi vijana wa siku hizi mnakimbilia nini???
 
Yap anaweza kuwa sahihi coz sie wanaume tulio wengi si waaminifu ata tukipendwa vip hatuwezi kujichunga nani mapa chache sana kuthamini ndoa zetu au wapenzi wetu bt kama ume mpenda nae anakupenda sana we subiri tu kwani nini be coll bro
 
Asanteni kwa maoni yenu ntayatekeleza rasmi kuanzia leo nawashukuru wote bila kujali ubaya,ukali au uzuri wa maoni yenu..
 
Back
Top Bottom