Recent content by Blessed Son

  1. B

    Msaada: Mwakyembe kabadilishiwa wizara?

    Wakuu naomba kujuzwa kama mwakyembe kabadilishiwa wizara au ni mm sijui mipaka ya wizara yake ya michezo,leo bungeni naona anaulizwa maswali kuhusu huduma za mahakama,kesi mbali mbali kucheleweshwa pia,kama wapo wajuzi wa hilo tafadhali mnifahamishe
  2. B

    Mwalimu wa math (mt) na chemistry (ch) anahitajika:

    Ni kweli nina shida hyo ila siko interested na mkoa huo
  3. B

    Biashara ya mitungi ya gesi na juis ya miwa

    Habarini wakuu kati ya kuuza na kubadilisha mitungi ya gesi na kuwa na mashine ya kukamua juis ya miwa ipi iko poa kimaslahi?
  4. B

    Kwa mwenye tuition center au shule anayehitaji mwalimu wa physics,chemistry na biology

    Wakuu kwa yeyote anayemiliki tuition center au shule na anahitaji mwalim wa masomo ya sayansi yalotajwa hapo,nitafute kwa namba 0719 00 83 64
  5. B

    Natafuta nafasi ya kufundisha tuition centre masomo ya sayansi

    Wakuu kwa mwenye tuition centre ambae anahitaji mwalimu wa physics,chemistry na biology napatikana wakati wote na nina uzoefu wa kufundisha Contact: 0719 00 83 64
  6. B

    Natafuta kazi ya kufundisha masomo ya sayansi kama part time

    Wakuu nina elimu ya chuo kikuu na nina uzoefu wa kufundisha tuition kwa masomo ya sayansi yaani Physics,Chemistry na Biology. Naomba kama kuna mtu humu ana tuition centre au QT maeneo ya kimara tutafutane kwa namba 0719008364 lakin niwe mwalim wa part time ili niweze kuendelea na shughuli zangu...
  7. B

    Msaada: Clinical medicine chuo cha Paradigms College of Health

    Wakuu naomba kuuliza,kwl nitapata ajira nkisoma kozi hyo kwnye chuo hicho kilichopo kimara bonyokwa? Nishaurini ili nisije kuingia choo cha kike
  8. B

    Diploma ya clinical medicine-Paradigms health college

    Wakuu kwa anayefahamu hicho chuo,inasemekana kiko kimara,vp kwa kozi ya clinical medicine wako vzr?
  9. B

    Msaada: Mmh nimechaguliwa chuo Paradigms health college,anayefaham anijuze,je ni kizuri?

    Wakuu naomba mnisaidie kunipa details juu ya chuo tajwa vp ni kizuri kitaaluma? Na je ada zake zikoje kwa clinical officer?
  10. B

    Nasumbuliwa na maumivu ya korodani, nini tatizo?

    Sijawahi kufnya mapenzi maishani mwangu mkuu
  11. B

    Nasumbuliwa na maumivu ya korodani, nini tatizo?

    Wakuu napata maumivu katika hali zifuatazo:- 1.Wakati fulani nikimaliza kukojoa mwisho natokwa na manii halafu maumivu makali ya korodani yanafuatia. 2.Nikitamani kufanya ngono hata kama sijafanya natokwa pia na manii na hufuatia na maumivu makali ya korodani. Maumivu hayo huendana na uvimbe...
  12. B

    Nisaidieni: Nina shida ya kukifahamu CHUO CHA MOUNT UKOMBOZI-DAR

    Naomba kujulishwa kuhusu chuo tajwa hapo juu,vp ubora wa elimu inayotolewa hapo? Mwenye details kuhusu chuo hicho naomba anijuze
  13. B

    Tafadhali ingia hapa: Chuo cha mount ukombozi-Dar es salaam

    Wakuu naomba kwa anayefaham chuo cha MOUNT UKOMBOZI KILICHOPO DAR ES SALAAM ANIJUZE,vp kuhusu ubora wake,na vp baada ya kumaliza hapo kama naweza kupata ajira
  14. B

    Msaada: Anayefahamu Chuo cha Mount Ukombozi

    Wakuu naomba kujulishwa kuhusu ubora wa chuo cha mount ukombozi kilichopo dar es salaam,wanatoa elimu ya kueleweka na vipi mtu anaweza pata ajira?
  15. B

    Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

    Wakuu naomba kujuzwa hivi kwa GPA ya 2.7 mtu anaweza kuajiriwa kwenye tume ya utumishi au kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali?
Back
Top Bottom