Tusaidiane: Mwenye GPA 2.7

Blessed Son

Member
Apr 23, 2015
34
23
Wakuu naomba kujuzwa hivi kwa GPA ya 2.7 mtu anaweza kuajiriwa kwenye tume ya utumishi au kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali?
 
utumishi sio wanaguzi ukiwa na gpa ya 4.5 na mwenye gpa ya 2.7 wote mnaitwa atakayefaulu interview ndio atakayeajiliwa
 
Popote unaajiriwa inategemeana na uelewa wako wa kupambanua mambo na good communction skills.nina rafiki zangu tumesoma nao uchumi moja yupo UNDP na mwingine yupo ofisi ya makamu wa raisi na wote wana G.P.A ya 2.5 na walikuwa hawana watu wa kuwashika mkono.
 
GPA hayo yako vyuoni kutambiana ila ukifika kazini yanawekwa kwenye file lako na hakuna anayeyaulizia,from there watu wanaaangalia utendaji wako tu! Hata kwenye interview ukikamua vzuri haijalishi mambo ya GPA. Ni kipimo kiliwekwa ili kuwafanya watu wasome vinginevyo si unajua uhuru ulioko vyuoni na km grades zisingekuwepo unadhani ingekuwaje?
 
Wakuu naomba kujuzwa hivi kwa gpa ya 2.7 mtu anaweza kuajiriwa kwenye tume ya utumishi au kwnye mashirika yasiyo ya kiserikali?


GPA haimati kiongozi UTUMISHI hawa bagui pili kuwa na GPA kubwa siyo kuwa una akili nyingi za kununua mitihani, so komaa tu kamanda
 
Back
Top Bottom