Msaada: Mwakyembe kabadilishiwa wizara?

Blessed Son

Member
Apr 23, 2015
34
23
Wakuu naomba kujuzwa kama mwakyembe kabadilishiwa wizara au ni mm sijui mipaka ya wizara yake ya michezo,leo bungeni naona anaulizwa maswali kuhusu huduma za mahakama,kesi mbali mbali kucheleweshwa pia,kama wapo wajuzi wa hilo tafadhali mnifahamishe
 
Itakuwa Prof Kabudi hayupo ndio maana anamsaidia maana Mwakyembe ni mzoefu kwenye hiyo Wizara ya Katiba na Sheria.
 
220px-Lucas_Cranach_%28I%29_-_Adam_and_Eve-Paradise_-_Kunsthistorisches_Museum_-_Detail_Tree_of_Knowledge.jpg
 
Toka atoke India inaonekana jamaa akili zimekuwa sharp, anajua kila kitu ndo maana anaulizwa yeye kama waziri fulani hayupo.
 
Back
Top Bottom