Recent content by blanko 3

  1. blanko 3

    Mlango wa Bombardier Q400 wazua kizaazaa baada ya kuruka

    Wa UKAWA utawajua tuuu,hawana jema
  2. blanko 3

    Ajira zilizositishwa zinataka kumuua mtoto wangu na BP

    Na kama ulimpigia deki yule mzee mwenye nywele nyeupe peeee,basi kwa mzee wa kanda ya ziwa utasubiri sana
  3. blanko 3

    UDSM ni chuo cha jiji la DSM, kuna shida gani wakitembea na vitambulisho?

    Ww umesoma Chuo gani mkuu?? Maana naona povu debe hahahahaaa!!!!!
  4. blanko 3

    UDSM ni chuo cha jiji la DSM, kuna shida gani wakitembea na vitambulisho?

    UDSM kitabaki Chuo mama,ila hapa naanza kupatwa na wsws kuwa MTU usipochaguliwa kujiunga na hiki Chuo unaanza kuwa na akili mgando,Huyu ananikumbusha ck kampeni zilipofunguliwa pale Jangwani ambapo mh Mkapa alisema Nanukuu "HAWA NI MALOFA" sasa huyu anayekizalau Chuo hiki kwa nn asifananishwe na...
  5. blanko 3

    Mbowe anyemelewa na TRA mkoa wa Kilimanjaro, Apewa siku 14 kulipa kodi Tsh 13.5m

    Hahahaahaaaaaaaa ni shida kwelikweli
  6. blanko 3

    Hivi Magufuli atagombea tena?

    Bali ww wasema,jpm ni rais hd 2025
  7. blanko 3

    kweli kuna baa la njaa cheki hao mbuzu

    Mbuzi au mbuzu!!??
  8. blanko 3

    Lowassa aache uchonganishi, hakuna njaa nchini

    Njaa IPO mkoa gani jamani!!???? Mbona mi sioni jambo hiliii
  9. blanko 3

    Rais Magufuli, Ni kigezo gani kilitumika kurudi kwa Muhongo kwenye uwaziri?

    Ikiwa ww ni ukawa kaa kimya....Mhongo ni Mtaalam
  10. blanko 3

    Mwamuzi aliyechezesha mpira kati ya Simba na JKT Ruvu ni vema afungiwe

    We ya Yanga povu linakutoka kwa yasiyokuhusu,,mbona Jana Tambwe alifunga kwa mkono hatukuongea!!??
  11. blanko 3

    Kauli ya Freeman Mbowe kufuatia kutoweka kwa Msaidizi wake, Ben Saanane

    Mkeo achepukie kwa jirani halafu unataka polisi wajue kachepukia wapi!!!!
  12. blanko 3

    John ameachwa

    Hahahahaaaa...mm nikadhani Faru John
Back
Top Bottom