Mwamuzi aliyechezesha mpira kati ya Simba na JKT Ruvu ni vema afungiwe

ooh Mara ndanda wapewe point simba imechezesha wageni .mara ooh..

hivi kuna refa mpuuzi zaidi ya yule aliyekubali goli la mkono na kukataa goli halali mechi ya simba vs Yanga...au unajifanya umesahau baada ya kifurushi cha jero kugoma Jana?
Ahahahaha umetwma cheche akuna atakae kujibu
 
Yanga kuleni wembe na ndimu mmezee na juis ya pilipili...na bado ...kama nyie vidume mtutoe pale kwenye usukani...kila saa kelele tu...ingekua labda ni golikipa wa simba kafanyiwa hivo mnavosema sjui mngekuja hapa mngesemaje ? Si ndo mngeshangalia kabisa...
 
1482598306185.jpg


nyambaffff....mimi ndo nmekaa juu hapa mnasemaje ...sitaki kelele mkae kimya ...
 
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Kwahiyo wewe ulitaka afanyeje?
 
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Na yule wa Jana ambaye yondani anampiga mchezaji wa afrika Lyon kwanja mbele yake wamfungie pia na kuwapa penalty yao.
 
Yanga buanaaaaa! Shida sana. Yaani wao wakila dagaa, basi anataka na mwenzie ale dagaa, hapana tumetofautiana vipato, mnakoelekea mtakula ugali kwa picha ya samaki, bado mtaombea Simba ifungwe, lakini Mnyama ni mbele kwa mbeleeee
Wamekaa kama wake wenza, hahaaa...! Simba haturudi nyuma.
 
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
We ya Yanga povu linakutoka kwa yasiyokuhusu,,mbona Jana Tambwe alifunga kwa mkono hatukuongea!!??
 
Yanga buanaaaaa! Shida sana. Yaani wao wakila dagaa, basi anataka na mwenzie ale dagaa, hapana tumetofautiana vipato, mnakoelekea mtakula ugali kwa picha ya samaki, bado mtaombea Simba ifungwe, lakini Mnyama ni mbele kwa mbeleeee
Hahah! tunapishana sisi tunarudi wao wanaenda
 
Back
Top Bottom