Ahahahaha umetwma cheche akuna atakae kujibuooh Mara ndanda wapewe point simba imechezesha wageni .mara ooh..
hivi kuna refa mpuuzi zaidi ya yule aliyekubali goli la mkono na kukataa goli halali mechi ya simba vs Yanga...au unajifanya umesahau baada ya kifurushi cha jero kugoma Jana?
Ha ha ha! Wanakera sana hawa makipa. Mbinu za kizamani sana hizo..!Kipa kipind cha kwanza kajiangusha mara mbili, kwa muda mrefu anagala gala kama choko ivi mara nikashangaa eti wakaongeza dk tatu tu
Niwie Radh kiongozi."fair pry"??
Mbona Kiswahili ni kizuri tu mkuu na kinajitosheleza.
Kwahiyo wewe ulitaka afanyeje?Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Na yule wa Jana ambaye yondani anampiga mchezaji wa afrika Lyon kwanja mbele yake wamfungie pia na kuwapa penalty yao.Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Wamekaa kama wake wenza, hahaaa...! Simba haturudi nyuma.Yanga buanaaaaa! Shida sana. Yaani wao wakila dagaa, basi anataka na mwenzie ale dagaa, hapana tumetofautiana vipato, mnakoelekea mtakula ugali kwa picha ya samaki, bado mtaombea Simba ifungwe, lakini Mnyama ni mbele kwa mbeleeee
Wamekaa kama wake wenza, hahaaa...! Simba haturudi nyuma.Yanga buanaaaaa! Shida sana. Yaani wao wakila dagaa, basi anataka na mwenzie ale dagaa, hapana tumetofautiana vipato, mnakoelekea mtakula ugali kwa picha ya samaki, bado mtaombea Simba ifungwe, lakini Mnyama ni mbele kwa mbeleeee
We ya Yanga povu linakutoka kwa yasiyokuhusu,,mbona Jana Tambwe alifunga kwa mkono hatukuongea!!??Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Hahah! tunapishana sisi tunarudi wao wanaendaYanga buanaaaaa! Shida sana. Yaani wao wakila dagaa, basi anataka na mwenzie ale dagaa, hapana tumetofautiana vipato, mnakoelekea mtakula ugali kwa picha ya samaki, bado mtaombea Simba ifungwe, lakini Mnyama ni mbele kwa mbeleeee