Mapato yaliyo ongezeka kwa serikali ilopita ilikua ni ukusanyaji wa madeni ya kodi za nyuma na sio kwamba compliance iliongezeka,compliance ipo mikononi mwa mlipa kodi mwenyew na kama akitaka ku-evade bado anaweza,zaidi sana tutaishia kua na kesi nyingi ambazo sio za msingi katika mahakama za...
Labda tueke hivi, Thamani ya pesa inapimwa na kipimo kiitwacho PPP(Purchasing Power Parity). Currency valuation ni economics manoeuvres tu ambazo zinawezwa kupikwa. Fatilia currency zenye thamani kubwa duniani je zinaakisi uhalisia wa uchumi wao??
Turudi kwenye hoja, thamani ya pesa inapimwa...
Sasa mkuu,samahani mimi mdogo wako ni mhitimu wa chuo cha IFM katika shahada ya usimamizi wa kodi naweza pata fursa ya intern hapo kwako nami nijifunze kwa vitendo...
Nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.