Tafakuri 10 mtekwaji wa mwaka Mdude

Tafakuri 10 mtekwaji wa mwaka Mdude

viongozi wa juu wa chadema wanajuwa mchezo mzima hapa yaani waliupanga hii ni kutaka kuharibu hali aliyoicha mheshimiwa rais baada ya ziara ya muda mrefu mkoani mbeya
 
ID ya muda mrefu ila sikuwahi kuiona humu tangu nijiunge JF mnamo April 3, 2017.

Nimeiona kuanzia jana baada ya Mdude kupatikana. Umeumia kisa mbinu yenu imebuma na mkaamua kumuachia?

Boresheni mbinu zenu za utekaji. Full stop!
 
Umeandika kimbeya mbeya, hamna la maana ulilo andika
 
muda wote huo unaandika upupu mrefu itabidi buku iongezwe iwe buku nane
 
Mshukuru MUNGU pamoja na kukupa pumzi ya bure akil ya bure na uwezo wa kutype hum ila bado huez kujitafutia riziki halali zaid ya kujikomba kwa utawala huu..............
Haya kachukue io ef 7
 
1. Mkuu huyo madeline unayaemsema kilikuwa kibinti kidogo cha miaka chuini ya 5. utalinganisha na kutekwa kwa mwanasiasa?
2. Vyombo vyausalama mbona hawatupli picha kamili?
3 Rais alipoingilia kati tukaona press release ya msigwa mara mdude huyo!!
4. Tusubiri version ya mdude si atasema au wamekwangua ubongo?
 
Duh! Bora hata Pierre Liquid pombe imempatia ahueni ya maisha kwa vijisent na promo.

Wewe umeharibu ubongo, umeandika mataputapu tupu...
 
Huwa najiuliza ukiwa na akili timamu unafutiwa.uanachama CCM au?.
Maana kila waccm anahitajika mirembe.
 
elfu saba isikufanye upoteze thamani ya utu wako na isikufanye ujitoe ufahamu kijana,hata andika yako inaonesha ni mtu aliyekulupushwa kuandika!Najua vijana kadhaa watapewa jukumu la kufanya damage control katika hili na wengine watafanya matukio(Skendo) kadhaa ili kuleta distractions among citizens ila wakubwa zako wakumbuke jinai inadumu na haki haipotei ila hucheleweshwa tu.

Naionea huruma nchi yangu, nakisikitikia Chama changu ninachokipenda tokea ujana wangu.
Hiyo buku 2 Mnayopewa ufipa isiwafanye mtake kuzua taharuki na kuondoa amani ya Nchi yetu
 
Ukisikia..."kajamba cheche akanya baruti" basi ndo wewe !!
 
ID ya muda mrefu ila sikuwahi kuiona humu tangu nijiunge JF mnamo April 3, 2017.

Nimeiona kuanzia jana baada ya Mdude kupatikana. Umeumia kisa mbinu yenu imebuma na mkaamua kumuachia?

Boresheni mbinu zenu za utekaji. Full stop!
Siku tatu Mdude alikuwa anakula nini?kaibuka na kuanza kubwabwaja
 
we ni mwerevu ila uzi wako wa kipumbavu we unaweza kukubali ujiteke upigwe uumizwe vile uso umechakaa namna ile
 
Back
Top Bottom