Ukweli kuhusu dunia (earth)

Nacheka sana,natumiaKiswahili chepesi mno,soma maneno yangu ya mwisho,nimekwambia nakupa jibu muda huu huu bila kupepesa macho. Wewe wataje tu hao unaosema wenye ulimwengu wao. Tuokoe muda hili jambo dogo sana.
Unanipaje jibu wakati umesema huwafahamu...??

We jamaaaa bana...sijui akili yako huwa inawazi viazi mbatata muda wote

Usiku mwema...Sina uwezo wa kubishana na wewe mwenye Elimu kubwa bana...

Usiku mwema chief wa mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanipaje jibu wakati umesema huwafahamu...??

We jamaaaa bana...sijui akili yako huwa inawazi viazi mbatata muda wote

Usiku mwema...Sina uwezo wa kubishana na wewe mwenye Elimu kubwa bana...

Usiku mwema chief wa mambo

Sent using Jamii Forums mobile app

Nacheka sana. Hata wenzako wakiona hili watakucheka.

Huwa sishangai kuona unashindwa kung'amua mambo madogo kama haya,iweje uje kupatia mambo makubwa au ya wastani.

Nikisema mizani tuna maanisha marejeo ya kipimo,leo ninaweza nikawa sijui urefu wako,ila tukikuchukua au ukienda kwenye kipimo cha kupimia urefu tukakupima bila shaka tutaujua urefu wako yaani ukweli kuhusu urefu wako. Na mimi kweli hao jamaa siwajui,ila sababu mizani ipo yaani marejeo ukinitajia nina wapima kisha nakwambia hakika yao yaani ukweli wa mambo ulivyo juu ya hao unao waita wenye ulimwengu.

Leo hii ni zaidi ya mara ya pili,unakimbia hoja zangu kwa kubabatiza uongo. Ila ninakushauri kitu kimoja mzee,katika hii mijadala ya namna hii jitahidi sana kuwa fundi katika lugha na uwe ukisoma hizo chereko zenu uwe unafikiria kwanza na kujiuliza je umeelewa au umekariri ?

Ajabu ya watu wa leo hata sanaa ya lugha na kuhoji mambo hamna tofauti hata na wale wakubwa zenu wa kale kidogo walikuwa wanajitutumua katika lugha mpaka ikafikia kipindi wakaitwa "Watu wa kucheza na maneno"

Nipo ...
 
Nacheka sana. Hata wenzako wakiona hili watakucheka.

Huwa sishangai kuona unashindwa kung'amua mambo madogo kama haya,iweje uje kupatia mambo makubwa au ya wastani.

Nikisema mizani tuna maanisha marejeo ya kipimo,leo ninaweza nikawa sijui urefu wako,ila tukikuchukua au ukienda kwenye kipimo cha kupimia urefu tukakupima bila shaka tutaujua urefu wako yaani ukweli kuhusu urefu wako. Na mimi kweli hao jamaa siwajui,ila sababu mizani ipo yaani marejeo ukinitajia nina wapima kisha nakwambia hakika yao yaani ukweli wa mambo ulivyo juu ya hao unao waita wenye ulimwengu.

Leo hii ni zaidi ya mara ya pili,unakimbia hoja zangu kwa kubabatiza uongo. Ila ninakushauri kitu kimoja mzee,katika hii mijadala ya namna hii jitahidi sana kuwa fundi katika lugha na uwe ukisoma hizo chereko zenu uwe unafikiria kwanza na kujiuliza je umeelewa au umekariri ?

Ajabu ya watu wa leo hata sanaa ya lugha na kuhoji mambo hamna tofauti hata na wale wakubwa zenu wa kale kidogo walikuwa wanajitutumua katika lugha mpaka ikafikia kipindi wakaitwa "Watu wa kucheza na maneno"

Nipo ...
sijasoma utumbo huu labda wengine watakuja kusoma...

Usiku mwema...endelea kusoma Quran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo ni mengi mifano ni mingi ila huna akili hujamweliwa jamaa, anasema dunia inapozunguka huzunguka na vilivyomo duniani, sasa vipi kuhusu helcopter au ndege inayoruka angani maana angani sio duniani je kama kweli dunia inazunguka from west to east basi ingekuwa ikiruka juu mfano ipo marekani ikiruka juu ingetulia kuisubiri China ije kwenye hilo anga?? Kisha itue chini kwanini ipae angani kutoka magharibi ielekee mashariki ilhali dunia inazunguka???

Ninavoona kama ingekuwa dunia inazunguka kwa hyo speed ndege zingeshindwa kufanya chochote na kusingekuwa na uwezekano wa safari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia inazunguka na anga lake lililopo juu, ukienda nje ya anga ndio unakua static huzunguki na dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU..! HUO NI UPOTOSHAJI.

Kuhusu speed
Unasema; > Hekicopter zingekuwa zinatulia angani na kusubiria mji wanaotaka wafike ukufikie. Kwa hyo spidi hapo juu inatakiwa mtu aifeel maana ni spidi kubwa sana.

Hebu fikiria upo kwenye gari lenye mwendo fulani (lets say 80km/hr),na ndani kuna nzi anaranda randa tu humo, tuchukulie huyo nzi yupo mbele kwa dereva na anataka aifike siti ya nyuma, je, kwa huo mtazamo wako unafikiri ataweza kuifikia hiyo siti kwa kuruka na kuganda hewani na kusubiri siti ya nyuma imfikie mahali alipo kisha atue, bila yeye kusafikiri kutoka mbele hadi nyuma kwenye hiyo siti?

Pili, Kuna ndege inaitwa North American X-15, nafikiri ndiyo ndege inayoongoza kwa speed kubwa, inatembea kwa 7,200 km/h.
View attachment 466011
Hiyo sio speed ndogo mkuu, sasa tuchukulie upo humo ndani, unataka kuniambia utaifeel hiyo speed eti kwa sababu tu ni kubwa?

Kuhusu gravity
Unasema;Wanasayansi wanasema gravity ni kubwa sana inashikilia majengo, maji yaliyopo baharini na kadhalika ila hyo gravity imeshndwa kushikilia vitu vidogo kama wadudu, ndege mnyama na samaki waliopo baharini.


Kwanza, unatakiwa ujue kuwa force ya gravity huathiriwa na medium (fluids), hapa nina maanisha kuwa kitu kikiwa kwenye fluid(hewa au kimiminika) yeyote huwa kuna force inayokinzana na gravity, inaitwa upthrust, kiwango cha upthrust kinategemea nature ya fluid yenyewe(viscosity), pamoja na mass ya kitu chenyewe.
Halafu pia ujue kuwa gravity haijashindwa kushikilia vitu vidogo, hao wadudu na ndege wanaoruka huruka kwa msaada wa hewa (inayo-offer upthrust kwa msaada wa mabawa yao), and trust me, isingekuwa hewa wasingeweza kuruka. Na huwa wanatumia nguvu kubwa kupata momentum ya kuruka juu kukinzana na gravity, hadi watakapopata desired momentum ndio wanarelax. Lakini kwa wadudu wadogo sana garavity huwa inaeffect ndogo sana kwao(kama jinsi ilivyo kwa unyoya mwepesi unaoelea angani),hii ni kwa sababu hewa inakuwa inaoffer upthrust kubwa inakaribiana mno na gravity. Ndio maana wadudu kama mbu,utaona kama hawathiriwi na gravity, ila sio kweli. Effect huwa ipo ila nayo inakuwa cancelled na upthrust ya hewa.

Kama hajaelewa hapo basi tena. Athari za watu waliokimbia elementary physics na baadae wakajikuta online wanasoma conspiracy huwa ni wabishi sana!
 
Huu uongo wa kijinga ushapitwa na wakati,ni kama dini na kisa cha mwafrika kuwa nyani kihistoria.
 
...DUNIA NI KAMA SARAFU, NI DUARA KWENYE KINGO ZAKE ILA NI TAMBARARE KWENYE SURFACE YAKE...NA NDIO MAANA KUNA PANDE KUU NNE ZA DUNIA, NEWS(NORTH, EAST, WEST, SOUTH) WAZUNGU KWA KUTUMIA DIRA YA DUNIA TAARIFA YA HABARI IKAITWA NEWS KIFUPI CHA NORTH, EAST, WEST, SOUTH, CHUKUA SARAFU IGAWE MARA 4,SASA KAMA DUNIA NI DUARA JE NORTH INAANZIA WAPI KWENDA WAPI?
Sasa mkuu kama Dunia ni flat disc ina maana kutakuwa na pande mbili tu! Nazo ni mashariki na magharibi. Kaskazini inaweza ikawepo, inaweza kuitwa ndiyo center. Kwa mantiki hiyo ncha ya kusini haitakuwepo.

Hii dhana imekaaje?
 
Naomba tufunge mjadala kwa kupata maneno kutoka kwenye maandiko:

22 Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;

Isaya 40:22

22 He is the one who sits on the earth's horizon; its inhabitants are like grasshoppers before him. He is the one who stretches out the sky like a thin curtain, and spreads it out like a pitched tent.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isaya 40:22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya dunia, Na wakaaji wake ni kama panzi. Anazitandaza mbingu kama wavu laini, Naye huzitandaza kama hema la kuishi.
 
Back
Top Bottom