lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,325
Unanipaje jibu wakati umesema huwafahamu...??Nacheka sana,natumiaKiswahili chepesi mno,soma maneno yangu ya mwisho,nimekwambia nakupa jibu muda huu huu bila kupepesa macho. Wewe wataje tu hao unaosema wenye ulimwengu wao. Tuokoe muda hili jambo dogo sana.
We jamaaaa bana...sijui akili yako huwa inawazi viazi mbatata muda wote
Usiku mwema...Sina uwezo wa kubishana na wewe mwenye Elimu kubwa bana...
Usiku mwema chief wa mambo
Sent using Jamii Forums mobile app