Recent content by black abdu

  1. B

    Polepole ataongea tena, tutapata uchungu zaidi lakini je, ni nani wa kutuokoa?

    Kichwa kimekuwa kizito baada ya kumsikiliza ndugu Polepole, kuna nyakati unakutana na habari ngumu usiyo na majibu hata unaona bora usingeijua...! Ni dhahiri kuwa haitatokea mgombea mkuu wa Nafasi ya Urais kwa sasa kujitoa, wala chama chake kutengua maamuzi, lakini pia hakuna mbadala sahihi wa...
  2. B

    Msaada Tutani

    Salaam ndugu zangu. Nawatafuta jamaa wanaosafirisha bidhaa za shambani, hassan viazi mviringo kwenda nchini Comoros, kwa anayejua naomba anipe information zao. Ninatanguliza shukran.
  3. B

    SoC04 Kujenga Tanzania ya Ndoto ya Mtanzania

    Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa tofauti na nchi zingine za Afrika Mashariki na Afrika; kijiografia imebarikiwa kuwa na eneo kubwa la ardhi kutosha kwa kilimo, vyanzo vya maji na bahari yenye ukanda mrefu wa pwani na vivutio vya utalii vyenye umaarufu mkubwa duniani. Kijamii, imebahatika kuwa...
  4. B

    SoC04 Mpango wa kupunguza ukosefu wa ajira na kujenga nguvu ya kiuchumi kwa vijana wanaohitimu chuo

    Tunaposhuhudia ongezeko la idadi ya wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu na serekali kuongeza wigo wa wanafunzi kupata mikopo, tunakumbana na changamoto ya ongezeko la vijana wanaohitimu elimu ya chuo lakini wanakosa ajira kutokana na uhaba wa nafasi za ajira. Suala hili nalichukulia kwa...
  5. B

    SoC04 Vijana Wetu Wasomi

    Mazungumzo na mwanangu: Jioni moja kwenye mazungumzo na mwanangu nikamtajia wazo langu kuwa, ingekuwa vema angeingia kwenye siasa, kwa vile nafikiri hapo baadae angeweza kupata nafasi ya uongozi na kufanya mema kwa nchi yetu. Jibu lake lilikuwa fupi na la kisomi kuwa “Siasa is not my thing”...
  6. B

    Nawezaje kupata huduma kwa Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia mtandao au namba ya simu?

    Leo nimeingia kwenye tovuti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, (hii ni wizara serious sana), lengo langu ni kupata huduma za usajili wa taasisi yetu. Imekuwa vizuri sana serekali walivyotuwekea mfumo wa huduma mitandaoni, inarahisisha Mambo kwa kiasi kikubwa. Cha kwanza nimepaswa kusajili...
  7. B

    Nafasi ya Timu zingine kwenye Mpira Tanzania

    Wanakamati, hadi muda huu ikiwa timu zote zinazoshiriki Kombe la Mapinduzi licha ya kupigiwa promo sana ni mechi mbili pekee zimejaza uwanja, Mechi iliyochezwa na Yanga na nyingine ni mechi ya jana iliyochezwa na Simba na JKU. Hii inatupa ujumbe gani? Tutakubali kuwa Simba na Yanga zinabeba...
  8. B

    Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

    Je, una supporting document yoyote kama kithibitisho? Au ndio kulisemwa na alisema? Zamani nilikuwa ninaamini kirahisi niliyoyasoma mtandaoni ila siku hizi watu wanapenda kuona likes nyingi na kuna habari nyingi zinasemwa na baadae kuthibitika si kweli, mfano ni hii juzi tunaambiwa Mzee Mpango...
  9. B

    Kwanini Mmiliki wa Samaki Samaki kapewa Kuwekeza Coco Beach sasa ila Kipindi cha Hayati Magufuli hakupewa?

    Hii habari naona mpya kwangu au kwa vile sijafika Coco muda mrefu...ila kwa mara ya mwisho niliona Wavuvi Camp imechukua nafasi ndogo tu miongoni mwa eneo liliwekwa ili kuwekwa biashara ambako kuna biashara nyingi hata za wazawa pia. Na sehemu ya watu kukaa ipo kubwa tu....wala hatuwezi...
  10. B

    Vijana wa Kitanzania tulipoteza wapi Uaminifu?

    Juzi kuna mshakaji wangu ameomba nimuazime kiasi kidogo cha fedha kwa ahadi ya kurudisha siku inayofuata...lakini hadi sasa amepiga kimya... kabla ya huyu kuna mwingine aliomba nimuazime pia, mshahara wake ukitoka angenirejeshea, nae hadi leo kimya. Nawaza labda mambo yao hayajakaa sawa, lakini...
  11. B

    Ufafanuzi kuhusu RAZABA

    Je Masharti au makubaliano ya Zanzibar kupewa eneo hilo yamekaa vipi? Ikitokea Muungano unavunjika muda huu je, bado eneo hili litaendelea kumilikuwa na Zanzibar? Na itakuwaje yaani!
  12. B

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Hii ilikuwa ngoma ya kwanza kuandika maneno yake kwenye daftari. So, nikiisikia naisikilizia rohoni yaani
  13. B

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Nimejaribu kuweka list yangu nimeshindwa nianzie wapi niishie wapi, ni ndefu sana labda ningekaa na John Dilinga ndio tungeelewana vema. Ila kuna nyimbo adimu sana kali wengi hawazijui, kama vile: Glenn Lewis - Fall Again Jennifer lopez/ Selina - I could fall in Love with you Lisa Fischer- How...
  14. B

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    Na ndio nilochokigundua, sijaona majina mashuhuri kama Whitney Houston, Toni Braxton, Brandy, May J, SWV, Tina Turner, Chaka Khan, Mariah Carey, Britney Spears, Aaliyah, Tanya Blount na wengineo ambao ndio hasa walikuwa vinara wa slow jams kabla ya wengi waliotajwa humu.
  15. B

    Slow jams - pini ipi ilikubamba

    ...... coz girl you know I'll never let, another's touch Come between the two of us Coz no one could ever take your place ...
Back
Top Bottom