Nimepata chimbo ilo nachukua vicks lotion mkongo bei cheee mimi naziuza kwa buku tano
Ukweli kwa siku napata hata zaidi ya 30k
Wateja wengi huwa ni wa online
Kwa ufupi niliichoka ile kazi niliyokuwa nikiifanya, pia kupitia changamoto za kuajiriwa nikasema sitaki tena kuajiriwa
Kipindi naacha nilikua na laki nne tu ambayo ilidumu kwa mwezi mmoja tu, nimetaabika sana ila nimekuwa imara zaidi
Ilipelekea nikaingia mtaani nikawa mzururaji mwenye faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.