Huu ushauri, umeuandika vizuri, ila ni ushauri uliopitwa na wakati.
Kwa sasa tunahitaji mawazo chanya kuliko hasi.
Asiyefanya kazi na asile ni maandiko hayo yalituasa hivyo.
Jaribu kuandika tena kwa uchanya zaidi
Mabadiliko hayo hayapo enforced. Ili sheria iwe enforced kuna procedure zake, moja ikiwa lazima iwe gazzeted kwenye Gvt gazzete. Hiyo ammendment haijawa gazzeted.
Kwa hiyo haitumiki bado.
Mimi siyo mwanasheria wa Mo! Ila kwa ufafanuzi private company nyingi mwenye hisa kubwa ndiyo mmiliki, ili kujua hiyo kampuni tajwa hapo juu, lazima upate register of member, utaona mo yupo na kina nani.
Ni hayo tu
Kampuni yoyote haiwezi kuwa na shareholder mmoja lazima waanzie wawili, private company wasizidi 50, na public haina mipaka.
Mtoto hana capacity ya kuingia kwenye mkataba
Kuwa shareholder ni jambo la kimkataba. Ila kupitia kwa next friend anaweza kuingia kwenye mkataba endapo tu mkataba ni kwa...
Pia naomba kuuliza, kwa mujibu wa maelezo yaliyopo kwenye web yao vyeti vinatakiwa viwe certified kabla ya kuviscan, lakini kwenye ule muongozo walioutoa namna ya kujaza taarifa kwa njia ya portal wanasema vyeti origional, wapo waliocertify na hawakuitwa kwenye usaili, pia wapo walio upload...
Kwa kifupi ni kwamba. Amuone wakili aliyekaribu. Kumshauri mtu lazima kuna vitu uvipate kutoka kwake, huku mtandaoni mtu anatoa story kuna vitu vinakosekana, lakini akiwa na wakili ni rahisi kupata majibu sahihi kutoka kwa mteja na ndipo atoe ushauri sahihi. Otherwise kumsikiliza mteja nusu...
Mawakili tupo busy sana na kazi za wateja, kama anataka ushauri aende ofisi yeyote ya mawakili atasaidiwa, huku mitandaoni huwezi kutoa ushauri maana kuna facts anakua amezificha hivyo ni ngumu kumshauri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafanya bussiness hiyo kwa zaidi ya miaka minne sasa, offer nakusafirishia free mpaka ubungo.
Nauza kiasi chochote utakacho, na nina aina tano za dagaa zote kutoka mwanza, sample zipo ukitaka.
Karibu PM
Kisheria hapo utamlipa kwani makubaliano ya mdomo pia ni mkataba
Kama ana mashahidi wa kudhibitisha hilo.
Ila suala la riba hakuna sheria inamruhusu mtu kukopesha kwa riba kama siyo taasisi ya kifedha, hivyo mahakama itakuamuru umlipe kile ulichokopa tu, bila riba.
Kama babu aliishi maisha ya kiislam, kikristo au kijamii, niwazi kuwa huyo mtoto ana haki ya huo urithi wa sehemu ya nyumba.
Kama babu alikufa bila wosia basi sehemu ya haki "by way of transmission" ilirithishwa kwa baba mtu, then baba mtu alipokufa kama hakuacha wosia ile sehemu ya haki "by way...
Miaka miwili iliyopita yalinipata haya kwa sababu ya kusupport UKAWA.
Sikuwahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa ila niliamini katika MABADILIKO YA UKAWA
Nilijitahidi sana kuwaelimisha watu juu ya uhitaji wa mabadiliko Pasipo kuvunja sheria.
Kilichotokea siku moja usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.