Sheria ya makampuni inaruhusu mmiliki mmoja (share holder) ?

Risk vs Return

Senior Member
Apr 23, 2012
106
71
Naomba ushauri ,
1. je sheria ya makampuni inaweza kuruhusu umiliki wa kampuni ukabaki wa mtu mmoja ? yaani mwanzo walikuwa wengi lakini kadri siku zilivyooenda wanajitoa na kubaki mmoja tu

2. Unaweza kufungua kampuni yenye share holder mmoja pekee ?

3. Je mtoto mdogo (minor) anaruhusiwa kuchukua nafasi ya pili kwenye umiliki wakati wa kufungua ? au hata waliobaki baada ya wengine kujitoa , mtoto anaweza kuwa moja wapo wa wamiliki wawilw waliobaki ?
 
Kampuni yoyote haiwezi kuwa na shareholder mmoja lazima waanzie wawili, private company wasizidi 50, na public haina mipaka.
Mtoto hana capacity ya kuingia kwenye mkataba
Kuwa shareholder ni jambo la kimkataba. Ila kupitia kwa next friend anaweza kuingia kwenye mkataba endapo tu mkataba ni kwa maslahi yake kama huduma za shule n.k
 
Kampuni yoyote haiwezi kuwa na shareholder mmoja lazima waanzie wawili, private company wasizidi 50, na public haina mipaka.
Mtoto hana capacity ya kuingia kwenye mkataba
Kuwa shareholder ni jambo la kimkataba. Ila kupitia kwa next friend anaweza kuingia kwenye mkataba endapo tu mkataba ni kwa maslahi yake kama huduma za shule n.k
Kama hairuhusu mbona tunasema Mohammed enterprise T ltd anamiliki MO na nyingine nyingi zinatajwa kumilikiwa na MTU Fulani ebu fafanua hapa
 
Kampuni yoyote haiwezi kuwa na shareholder mmoja lazima waanzie wawili, private company wasizidi 50, na public haina mipaka.
Mtoto hana capacity ya kuingia kwenye mkataba
Kuwa shareholder ni jambo la kimkataba. Ila kupitia kwa next friend anaweza kuingia kwenye mkataba endapo tu mkataba ni kwa maslahi yake kama huduma za shule n.k
Sheria ya 2002 iliyorekebishwa 2010 iliruhusu,sema walipokuja kwenye kuandika kanuni,ilikwama maana ilitekelezeke mpka leo hakuna kanuni iliyoifanya itekelezeke,kwa hiyo,mpka leo amendment hiyo haikufanya kazi
 
Sheria ya 2002 iliyorekebishwa 2010 iliruhusu,sema walipokuja kwenye kuandika kanuni,ilikwama maana ilitekelezeke mpka leo hakuna kanuni iliyoifanya itekelezeke,kwa hiyo,mpka leo amendment hiyo haikufanya kazi
Marekebisho hayo hayapo enforced. Kwa hiyo stand ni kuwa mtu mmoja hawezi kuanzisha kampuni
 
Kama hairuhusu mbona tunasema Mohammed enterprise T ltd anamiliki MO na nyingine nyingi zinatajwa kumilikiwa na MTU Fulani ebu fafanua hapa
Mimi siyo mwanasheria wa Mo! Ila kwa ufafanuzi private company nyingi mwenye hisa kubwa ndiyo mmiliki, ili kujua hiyo kampuni tajwa hapo juu, lazima upate register of member, utaona mo yupo na kina nani.
Ni hayo tu
 
Ndio inaruhusu .....kuna mabadiriko yalifanyika

na kuruhusu mtu mmoja kuweza kuunda kampuni
Mabadiliko hayo hayapo enforced. Ili sheria iwe enforced kuna procedure zake, moja ikiwa lazima iwe gazzeted kwenye Gvt gazzete. Hiyo ammendment haijawa gazzeted.
Kwa hiyo haitumiki bado.
 
Mabadiliko hayo hayapo enforced. Ili sheria iwe enforced kuna procedure zake, moja ikiwa lazima iwe gazzeted kwenye Gvt gazzete. Hiyo ammendment haijawa gazzeted.
Kwa hiyo haitumiki bado.
Nayafahamu yote hayo upo nyuma ya taarifa

siku nyingine uliza ama fanya research kwanza

sio unabandika bandika tu.
 
Naomba ushauri ,
1. je sheria ya makampuni inaweza kuruhusu umiliki wa kampuni ukabaki wa mtu mmoja ? yaani mwanzo walikuwa wengi lakini kadri siku zilivyooenda wanajitoa na kubaki mmoja tu

2. Unaweza kufungua kampuni yenye share holder mmoja pekee ?

3. Je mtoto mdogo (minor) anaruhusiwa kuchukua nafasi ya pili kwenye umiliki wakati wa kufungua ? au hata waliobaki baada ya wengine kujitoa , mtoto anaweza kuwa moja wapo wa wamiliki wawilw waliobaki ?

kuna procedure ya kujitoa/kumtoa mtu u director. kama ni limited company kuna form brella una ijaza. kwa hiyo kama ulifungua kampuni na watu na wanejitoa bila kufata utartibu kama limited company bado sheria ina watambua kama ni moja wa mi director. baadae kampuni ikikua watakusumbua. kama issue hii imekutokea kwako na kampuni yako ni limited nenda brella
 
2012 ndio ilikua incorporated. kazi rasmi nilianza 2014, ni contractor,Electrical,ac na plumbing.

Zanga hakuna kitu kama hicho kwa sasa hapa nchini. Kampuni binafsi kuwa na mwanahisa mmoja. Mabadiliko yaliyofanywa kwenye sheria ya makampuni kuruhusu single shareholder company bado hayajaanza kufanya kazi rasmi.
 
Kama hairuhusu mbona tunasema Mohammed enterprise T ltd anamiliki MO na nyingine nyingi zinatajwa kumilikiwa na MTU Fulani ebu fafanua hapa
Umejuaje anamiliki Mo peke yake?

Tafuta sheria ya makampuni usome

Kwa kampuni binafsi ambayo iko limited by shares min ni wawili na max ni 50 chini ya hapo hiyo sole proprietary
 
Kampuni yoyote haiwezi kuwa na shareholder mmoja lazima waanzie wawili, private company wasizidi 50, na public haina mipaka.
Mtoto hana capacity ya kuingia kwenye mkataba
Kuwa shareholder ni jambo la kimkataba. Ila kupitia kwa next friend anaweza kuingia kwenye mkataba endapo tu mkataba ni kwa maslahi yake kama huduma za shule n.k
Public inabidi waanzie 7
 
Back
Top Bottom